Mahari ya Single Mom

Mahari ya Single Mom

Mahari ya single mama inatakiwa itoke kwa wazazi wake japo waseme asante kwa kijana atakabeba hilo kopo.

Kununua engine mbovu iliyoshafanyiwa overhaul ni ujinga na utadharaulika na hata ndugu wa mkeo even yeye mwenyewe atakuona boksi

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
ongeza sauti wakusikie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo sio rahisi kama mnavyoyajadili. Kwanza mara nyingi mtu akianzisha mahusiano na single mother huwa inakuja kama ajali tu. Yaani mwanamke na mwanaume wataishi pamoja kibahati mbaya.

Sasa ukianza kuweka taratibu za kimila utajikuta huyu dada anatakiwa yeye kujilipia mahari ili aolewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wana majibu magumu balaa kwanini muwalaumu hao single mama hivyo? hamjui hata sisi wanaume tunachangia pakubwa kuwafanya kuwa single? basi ifike mahali tusiwaseme vibaya hata kwa yule anaetaka kumuoa kikubwa wameridhiana,wamependana bila ya kulazimishwa basi jukumu letu kuwaombea heri ktk maisha yao, Poleni sana wamama wote kwa majibu yakukatisha utu wenu, mbarikiwe.
Wanaowasha moto sana ujue wanajua uchungu ikitokea kampa mtu mimba basi anakomaa nae ndo mana haamin kuoa single maza hata kidgo mim mwenyew single maza hata akiniroga asee akili ikirudi nasepa na nilishatoa angalizo mkiona natangaza ndoa na single maza naomba mnipelke kanisan mapena sanaa zitakua so akili zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Personally,siwezi kuoa mwanamke mwenye mtoto nitaonekana zoba..

Wanawake wanaopata mimba kiwepesiwepesi hawa ndo tusemezane nao...Njia za kujikinga zipo kibao why uzae bila ya kuwa kwenye ndoa serious??.

Wanaochana/Kufiwa na waume zao hiyo ni case nyingine..

Tusiwazodoe sana,ila pia tusilifanye hili kuwa ni jambo jepesi..Kuoa mke mwenye mtoto wa mwanaume mwingine inahitaji moyo

Wanaume pia tubebe misalaba yetu..ukimpa binti wa watu mimba muoe usijekuwapa watu wengine mizigo isiyowahusu
 
Personally,siwezi kuoa mwanamke mwenye mtoto nitaonekana zoba..

Wanawake wanaopata mimba kiwepesiwepesi hawa ndo tusemezane nao...Njia za kujikinga zipo kibao why uzae bila ya kuwa kwenye ndoa serious??.

Wanaochana/Kufiwa na waume zao hiyo ni case nyingine..

Tusiwazodoe sana,ila pia tusilifanye hili kuwa ni jambo jepesi..Kuoa mke mwenye mtoto wa mwanaume mwingine inahitaji moyo

Wanaume pia tubebe misalaba yetu..ukimpa binti wa watu mimba muoe usijekuwapa watu wengine mizigo isiyowahusu
Hapo mwisho umemalizia vizuri sana
 
Hii ya kumtambulisha nyumbani mwanamke aliyezalia nyumbani huwezi kueleweka sana sana watahisi kuwa kijana wao umerogwa na huyo na mwanamke maana kwa akili zako huwezi fanya huo upuuzi.
Tatizo sio kuwaza mbali wewe mwenyewe unajua vitu kwa ground jinsi vilivyo huwezi mpeleka mchumba nyumbani ambae ni single mom wakuelewe kirahisi labda uongozane na malaika toka mbinguni hawashawishi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unatokea kanda gani hapa Tanzania?
Mimi natokea Kanda ya ziwa mwanamke ana play role kubwa sana kwa wazazi wa mtoto wa kiume yani huwezi kuoa bambasi wakakuelewa.

Mama yangu mimi pamoja na uzee wake huwa anatusihi sana sisi ambao hatujaowa kutafuta mwanamke Bikra mabambasi tupitie tu, yeye aliolewa na usichana wake and this is why I'm very proud of her also my older sister she was married virgin sisi ni wasukuma mixer usomali wa kisingida.


What? Yani mahari ya mwanamke Bikra au asiye na mtoto hata kama ka-abort mara elfu 50 iwe sawa na aliyeenda leba?
Ndio maana nikakwambia mahali ni utamaduni. Kuna wengine hawatoi mahali na wanachukua bikra kwa vile utamaduni wao mtoto wa kike kuolewa ni baraka.

Kwahio kama utamaduni wako huko hivyo sawa lakini usijumlishe na wengine.

Mwanamke hana bei, hizo zingine mbwembwe tu.
 
Pamoja na kuwa na point kuhusu mahusiano ila suala la kusema mahari ya binti wa miaka 18-22 asiye na mtoto uyafananishe na wa 30 mwenye mtoto!. Hapana.
Mwanamke hana bei, hizo zingine mbwembwe tu.

Mbona kuna wengine wanaoa bikra zaidi ya mmoja?
 
Ndio maana nikakwambia mahali ni utamaduni. Kuna wengine hawatoi mahali na wanachukua bikra kwa vile utamaduni wao mtoto wa kike kuolewa ni baraka.

Kwahio kama utamaduni wako huko hivyo sawa lakini usijumlishe na wengine.

Mwanamke hana bei, hizo zingine mbwembwe tu.
Kwa hiyo wewe umeoa bombonya?
 
Mahari ya single mama inatakiwa itoke kwa wazazi wake japo waseme asante kwa kijana atakabeba hilo kopo.

Kununua engine mbovu iliyoshafanyiwa overhaul ni ujinga na utadharaulika na hata ndugu wa mkeo even yeye mwenyewe atakuona boksi

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Maneno makali sana

Typed Using KIDOLE
 
Huyo sijamjua kwa kweli kiongozi. Ninayemfahamu yupo Bariadi. Hili jina la Rutagwerera ni la ukoo. Wapo wengine siwajui. Mwingine alikua na wale jamaa wa GGM ila aliacha kitambo.
Inabidi uwatafute aisee nayemzungumzia ni kiongozi wangu ana wadhifa mkubwa sana.
 
Back
Top Bottom