Nakfa
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,971
- 14,388
Usimpige risasi nipe kazi ya kumroga. usukumani wapuuzi kama hawa marufuku kuja.Kuoa single mom ni upuuzi mtupu tena kama kuna mtu yupo humu kaoa single mom ni mpuuzi wa dunia ya mwisho
Unawezaje kuoa chuma chakavu kijana ambaye unakuta hata mtoto huna unabaki kubebe jitoto la mwanaume mwenzio na kumuita eti mwanangu
Ni upuuzi wa kiwango cha juu sana ambao haujawahi tokea toka dunia iumbwe yaani unaoa single mom na unamtambulisha kwenu kabisa
Nasema tena ni upuuzi mkubwa sana kuoa mwanamke aliyezaa na mwanaume mwenzio yani unachukua mwanamke mwenye ushahidi kabisa kuwa alifanya uzinzi hadi akapachikwa mimba
Yaani mimi kama mzazi mwanangu wa kiume alete mwanamke aliyezaa aseme huyo ndiyo mchumba wallah nampiga shaba bila ubishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntumbavu sana masingomama
