Yani mnashindwa kuelewa kitu kimoja,kulelewa na single mother haimaanishi huyo mtoto aanze kuwatetea single mother hapana!Mi nashangaa sana watu kuwaona single maza kama ukimwi vile,
ilhali hata wao walilelewa na mama zao tu
![]()
Hebu kuweni upande wa mwanaume kidogo!,Hivi inaingia akilini kweli kijana barubaru unaenda kuoa mwanamke aliyezalishwa na mwanaume mwenzio.
Yani unajipa mzigo usio wako kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ilhali hata wao walilelewa na mama zao tu
