Mahari ya Single Mom

Mahari ya Single Mom

Mi nashangaa sana watu kuwaona single maza kama ukimwi vile,
ilhali hata wao walilelewa na mama zao tu
Yani mnashindwa kuelewa kitu kimoja,kulelewa na single mother haimaanishi huyo mtoto aanze kuwatetea single mother hapana!

Hebu kuweni upande wa mwanaume kidogo!,Hivi inaingia akilini kweli kijana barubaru unaenda kuoa mwanamke aliyezalishwa na mwanaume mwenzio.

Yani unajipa mzigo usio wako kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahari ya single mama inatakiwa itoke kwa wazazi wake japo waseme asante kwa kijana atakabeba hilo kopo.

Kununua engine mbovu iliyoshafanyiwa overhaul ni ujinga na utadharaulika na hata ndugu wa mkeo even yeye mwenyewe atakuona boksi

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
chukulia ungekuwa na dada yako mwenye sifa kama hizo (alibeba mimba kwa kubakwa au akiwa shule) leo akiitwa majina 'mazuri' hayo uliyomchagulia ungejisiliaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hukumu lazima waipate kuanzia hapahapa duniani.
Una habari sasa hivi meza imepinduliwa kutokana na makampeni yenu ya fataki sijui vipepeo vinajimanua tu maana speed ya utongozaji imekuwa chini sana?
Mkuu tunakosea kuwahukumu kwasababu siyo dhambi pekee zipo nyingi sana tunafanya ikiwemo sisi wanaume kuwatia mimba na kuwatelekeza
 
Mkuu tunakosea kuwahukumu kwasababu siyo dhambi pekee zipo nyingi sana tunafanya ikiwemo sisi wanaume kuwatia mimba na kuwatelekeza
Kwa hiyo wewe unaweza kuoa mwanamke aliyezalishwa kwa mahari sawa na ambaye hajazaa?

NB; Usiniandikie kuna ambao hawajazaa ila wametoa mimba hawa wanafanya hivi ili kutunza thamani zao japo hukumu yao ipo.
 
Kichwa yako haina kitu.Yaani ni vacuum.
........................Kipi kitakachotutofautisha kati ya wewe uliyeowa single mama kwa mahari 150K na mimi nisiyeweza hata kukaa kujadili mahari ya single mama zaidi ya kila mmoja wetu kumuona mwenzake hana akili?in reality wewe ndo akili huna zaidi unajifariji tu!

Umeowa mke wa mtu upo hapa unatamba?hivi unajielewa wewe?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Kuna watu wana majibu magumu balaa kwanini muwalaumu hao single mama hivyo? hamjui hata sisi wanaume tunachangia pakubwa kuwafanya kuwa single? basi ifike mahali tusiwaseme vibaya hata kwa yule anaetaka kumuoa kikubwa wameridhiana,wamependana bila ya kulazimishwa basi jukumu letu kuwaombea heri ktk maisha yao, Poleni sana wamama wote kwa majibu yakukatisha utu wenu, mbarikiwe.
 
Hata milion 5 unatoa kutokana na ulivyompenda.
Mi kuna single mom, alinipenda katika uhai wangu hakuna aliyenipenda sana Kama yeye japo wapo waliokuja badala yake.
Na imani nikifa , tutaonana Tena.
Rest in peace mainah😥😥😥.
[/QPole sana mkuu.
 
Mahari ya single mama inatakiwa itoke kwa wazazi wake japo waseme asante kwa kijana atakabeba hilo kopo.

Kununua engine mbovu iliyoshafanyiwa overhaul ni ujinga na utadharaulika na hata ndugu wa mkeo even yeye mwenyewe atakuona boksi

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mkuu Embu ongea na baba yako au mama vizuri akupe historia yenu. Usikute kuna bibi yako alikuwa engine mbovu/kopo ndo alipelekea baba/mama yako akawepo ndo ukafuata wewe maana kama kaburini wanasikia atajuta kwann aliliea mimba ya babu au bibi yako.
 
Back
Top Bottom