Gluk
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 1,859
- 3,022
Haisaidii lolote ila inakujengea imani kubwa juu ya msimamo wake na kujitunza kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima kwako na wengine kama wewe kwa kuendeleza majukumu ya kuelea peke yenu.Ni single Mum Mkuu, una swali lingine?
Watu kama nyinyi mara nyingi mnaingia kichwa kichwa kwa wanawake ambao wakati mnaanza uhusiano wanakudanganyeni ya kuwa hawana Mtoto, kumbe Mtoto yuko kwa Bibi yake kitambo.Sio kuwaogopa hivi unawezaje kumtambulisha single mother katika familia inayojitambua na kueleweka na yenye maadili yote? Single mother acha wavune walichopanda mimi hata kuwa nao katika mahusiano serious kabsa. Hata uwe mkali vipi ukishaniambia kuwa ni single mother mzuka unakata
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni utovu wa akili kuamini kuwa binadamu anauzwa ktk jina la mahali.Duh watu na roho mbaya zenu
Mara nyingi watu wanasahau kwamba mapenzi ni ya watu wawili. Thamani ya mke au mume haitambuliwi na wazazi, ndugu wala marafiki bali wale waliokuwepo kwenye uhusiano.
Kwahio kiwango cha mahali ya single mum, haina tofauti na mwanamke yoyote yule kwani vigezo vya mahali viko vingi na kuwa na mtoto sio moja wapo. Huyo binadamu sio gari. Mahali ni utamaduni tu.
Tatizo hili........................Huyo aliye-comment hapo ameowa single mama na akapigwa mahari kubwa that's why amejimwambafy hapo but mahari ya single mama inatakiwa itoke kwa wazazi wake japo waseme asante kwa kijana atakabeba hilo kopo.
Kununua engine mbovu iliyoshafanyiwa overhaul ni ujinga na utadharaulika na hata ndugu wa mkeo
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mimi siwezi kuwa na laana nimezaliwa na mama aliyejitunza hadi kwenye ndoa na wala siyo single father laana unayo wewe single mama uliyezaa hovyo kisha akitokea domo zege wa kukuonea huruma mnajikusanya familia nzima mna-discuss mahari apigwe bei gani as if anaowa bikra,tena kama mimi mkisema hata 80,000/= tu naondoka sitakuwa na muda wa kupatana.Unalaana sio bure
Si unaona nilisema unalaana yani unarusha giwe gizan mzee mm bdo mchini hata kutotoa sijaanza ss ww jiropokeshe....................Mimi siwezi kuwa na laana nimezaliwa na mama aliyejitunza hadi kwenye ndoa laana unayo wewe single mama uliyezaa hovyo kisha akitokea domo zege wa kukuonea huruma mnajikusanya familia nzima mna-discuss mahari apigwe bei gani as if anaowa bikra,tena kama mimi mkisema hata 80,000/= tu naondoka sitakuwa na muda wa kupatana.
Hapo juu kwenye namba nimemaanisha elfu themanini usije ukapasoma kama laki nane.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
.........................Tunaokoa kizazi kaka hili jambo siku hizi mabinti wanalichukulia kiwepesi sana kumbuka na sisi tunazaa nachotaka wale waliopo humu na hawajafikia stage inayozungumzwa hapa waogope na wajiepushe na ujinga huu so called “singo mama”.Mkuu punguza kidogo ukali wa maneno Daah, si vyema sana kuwa na maneno makali hivyo
Hii ID nakumbuka kubishana nayo somewhere kuhusu mambo haya haya ila wakati huo ilikuwa kuhusu “BIKRA” wewe na mwenzako wakujiita somebody @tufitufi povu liliwatoka kweli kweli na nakumbuka mmoja wenu akakiri post ya #3 baada ya main post kwamba alitolewa bikra akiwa aged 16 sasa sikumbuki kama ni wewe au yule mwenzio.Si unaona nilisema unalaana yani unarusha giwe gizan mzee mm bdo mchini hata kutotoa sijaanza ss ww jiropokeshe
Elfu80 kubwa ww hata wa 2k hautampata
Bora kaka useme wewe, dah wanaume wengine wana dhihaka sana tasema hawakuzaliwa na wanawake jamani.,,ukimfatili utakuta kenyewe mama ake aliolewa akiwa nakoMkuu ivi unajua kuna mademu wanatoa wameshatoa mimba kibao ..nahuyo ndo unaenda Oa?Yupi bora, Alotoa mimba zaidi ya tano Ila hana mtoto... Au aliye pata mimba moja naakamua kuzaa ?.
Ukishamwelewa MTU ,hata km amezaa Toa mahari ya kujitosheleza.
Nenda Ukuryani, Uone Jamaa wanavyotoa mahari, wanalipia Mke, wanalipia Watoto kutumia Ubini wake.
Sasa nenda nakapua kako eti unataka Mtoto wako Hahahahaha.... Utabakisha Kinyeo mlangoni

, alafu dada zake wote wamezalishwa wako nyumbani binamu zake usiseme, ila wakijua humu wanajimwambafaii weeeee as if wanaishi Mars na si huku kwenye jamii zilizojaa ma single mom😭😭😭😭 mkuu hii comment imenitoa chozi langu imeniumiza sana.Hata milion 5 unatoa kutokana na ulivyompenda.
Mi kuna single mom, alinipenda katika uhai wangu hakuna aliyenipenda sana Kama yeye japo wapo waliokuja badala yake.
Na imani nikifa , tutaonana Tena.
Rest in peace mainah😥😥😥.
Unajua venye naelewaga comments zako my brother from another mama........................Huyo aliye-comment hapo ameowa single mama na akapigwa mahari kubwa that's why amejimwambafy hapo but mahari ya single mama inatakiwa itoke kwa wazazi wake japo waseme asante kwa kijana atakabeba hilo kopo.
Kununua engine mbovu iliyoshafanyiwa overhaul ni ujinga na utadharaulika na hata ndugu wa mkeo even yeye mwenyewe atakuona boksi
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Unajikutaga diiiingi kuliko sisi kumbe upuuzi tu.Comments za watoto wadogo na primitives zinajidhihirisha wazi. Hayo mambo ya single mother visababishi ni sisi sisi wanaume. Acheni kuropoka upumbavu nyinyi washenzi.
Laki moja mkuu hapo unaoa yeye na mtoto wake kabisa?