Mahari ya Single Mom

Mahari ya Single Mom

Uko sahihi kabisa lakinii tutarudi palepale katokea kwenye familia ya namna gani?

Sisi mama yetu hakupatikana kizinzi zinzi ndio maana hata dada zangu wote (watatu) wameolewa wakiwa na usichana wao sasa embu jiweke wewe kwenye nafasi ya mama yetu and feel how proud she is kuozesha watoto wote watatu wakiwa na usichana wao
Yes upo sahihi kwa mtazamo wako ila miaka ya nyuma single mom walikuwa nadra sana,saizi mabadiriko ya maisha huwezi fananisha na early 1990's.......hii ni changamoto kama changamoto nyingine zilizokuja kutokana na changes of life style,kama jamii tusiwahumu na kuwanyoshea vidole ila nikuangalia mzizi wa tatizo.

Yes, katika jamii zetu ukioa single mother unaonekana ni kituko,lakini tunasahau root cause tunaconclude na kuona ni wasiostahili,wasiofaa,malaya etc

Umesema dada zako wote wameolewa virgin,ni jambo jema na malezi ktk familia yenu ila kwa sasa wazazi wako busy kupambana na maisha sana kwahiyo watoto wanajiongoza wenyewe,ile intimacy haipo tena tofauti na miaka tulikua wadogo.

Tusiwahukumu hawa single mom,wanaume nasisi ni chanzo
 
Mahari ya single mama inatakiwa itoke kwa wazazi wake japo waseme asante kwa kijana atakabeba hilo kopo.

Kununua engine mbovu iliyoshafanyiwa overhaul ni ujinga na utadharaulika na hata ndugu wa mkeo even yeye mwenyewe atakuona boksi

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Kichwa yako haina kitu.Yaani ni vacuum.
 
Yes upo sahihi kwa mtazamo wako ila miaka ya nyuma single mom walikuwa nadra sana,saizi mabadiriko ya maisha huwezi fananisha na early 1990's.......hii ni changamoto kama changamoto nyingine zilizokuja kutokana na changes of life style,kama jamii tusiwahumu na kuwanyoshea vidole ila nikuangalia mzizi wa tatizo.

Yes, katika jamii zetu ukioa single mother unaonekana ni kituko,lakini tunasahau root cause tunaconclude na kuona ni wasiostahili,wasiofaa,malaya etc

Umesema dada zako wote wameolewa virgin,ni jambo jema na malezi ktk familia yenu ila kwa sasa wazazi wako busy kupambana na maisha sana kwahiyo watoto wanajiongoza wenyewe,ile intimacy haipo tena tofauti na miaka tulikua wadogo.

Tusiwahukumu hawa single mom,wanaume nasisi ni chanzo
Single mother wengi wanatamaa kisa mwamba ana mpunga wanajilengesha wenyewe wakizalishwa wanajifanya wanaharakati
Mfano, hamisa mobeto, zamaradi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Single mother wengi wanatamaa kisa mwamba ana mpunga wanajilengesha wenyewe wakizalishwa wanajifanya wanaharakati
Mfano, hamisa mobeto, zamaradi

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na hao waliochagua maisha ya kijinga na kutaka ganda la ndizi....asilimia kubwa wengi wanajikuta ktk hali hiyo kama ajali tu
 
Tatizo sio kuwaza mbali wewe mwenyewe unajua vitu kwa ground jinsi vilivyo huwezi mpeleka mchumba nyumbani ambae ni single mom wakuelewe kirahisi labda uongozane na malaika toka mbinguni hawashawishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vip binti kaolewa ndani ya two years mume kafariki kaacha mtoto huyo hafai?
Vip Kwa binti ambae hana mtoto kuolewa na kijana mwenye mtoto?
 
Bora kaka useme wewe, dah wanaume wengine wana dhihaka sana tasema hawakuzaliwa na wanawake jamani.,,ukimfatili utakuta kenyewe mama ake aliolewa akiwa nako , alafu dada zake wote wamezalishwa wako nyumbani binamu zake usiseme, ila wakijua humu wanajimwambafaii weeeee as if wanaishi Mars na si huku kwenye jamii zilizojaa ma single mom

Tuwapende na kuwaheshimu, kumbukeni nyie ndo mnaowapa hizo mimba

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hata kama kwao ipo hivyo unataka ashabikie na kukubaliana na hali hiyo?

Hata kama mama yake aliolewa akiwa na huyo mtoto (single mother)! hiyo haimaanishi ni jambo jema,wembe ni uleule,mabinti punguzeni kuvua chupi hovyohovyo!

Sidhani kama ni jambo jema kuingia uwanjani huku mpinzani akiwa anaongoza kwa goli moja tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes upo sahihi kwa mtazamo wako ila miaka ya nyuma single mom walikuwa nadra sana,saizi mabadiriko ya maisha huwezi fananisha na early 1990's.......hii ni changamoto kama changamoto nyingine zilizokuja kutokana na changes of life style,kama jamii tusiwahumu na kuwanyoshea vidole ila nikuangalia mzizi wa tatizo.

Yes, katika jamii zetu ukioa single mother unaonekana ni kituko,lakini tunasahau root cause tunaconclude na kuona ni wasiostahili,wasiofaa,malaya etc

Umesema dada zako wote wameolewa virgin,ni jambo jema na malezi ktk familia yenu ila kwa sasa wazazi wako busy kupambana na maisha sana kwahiyo watoto wanajiongoza wenyewe,ile intimacy haipo tena tofauti na miaka tulikua wadogo.

Tusiwahukumu hawa single mom,wanaume nasisi ni chanzo
Hukumu lazima waipate kuanzia hapahapa duniani.
Una habari sasa hivi meza imepinduliwa kutokana na makampeni yenu ya fataki sijui vipepeo vinajimanua tu maana speed ya utongozaji imekuwa chini sana?
 
Vip binti kaolewa ndani ya two years mume kafariki kaacha mtoto huyo hafai?
Akaolewe na wavaa misuli (wazee), wagane au wenye watoto wenzake mechi haijawahi kuanza timu moja inaongoza.

Vip Kwa binti ambae hana mtoto kuolewa na kijana mwenye mtoto?
Hii sasa inaitwa shida na sio mapenzi ya dhati ataolewa kwa kufata jambo lake baada ya hapo show yake utaipenda na mimi ni shahidi.

BTW hatuko sawa, mwanamke ni dhaifu tu.
 
Back
Top Bottom