Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,319
- 201,540
Nmekuona
🤭🤭🤭🤭🤭🤭
Nmekuona
Unalaana sio bure
Kasemehewa kwa niabaMsamehe bure
nani ametangaza nia ya kuoa?sasa ndo ujue Sio dhambi kuzaa... umempenda Toa mahari , nasio kulialia hapa ,kwan mwanawe ni mzigo ?.mpaka unamtongoza siunajua kabisa ? Unatangaza nia Yakuoa siunajua kabisa??? .
halafu unatoa na mahari kabisaHivi kijana anayeoa unaanzaje kuoa single mother wakati wabichi wamejaa tele unaanzaje kumtambulisha kwenu kwa wazazi, mashangazi wajomba?
Binafsi kuoa mwanamke asiye na bikra nitajiuliza mara mbili mbili sembuse mfupa uliomshinda fisi mimi ndo nitauweza.
Mwanamke aliyezalia nyumbani hana sifa za kuwa mke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana hatuoi masingomaza used thingKuna watu komenti zao unaweza kudhani hawakuzaliwa na mwanamke
single mama..? Kili hadharani nikuoe wabakie kutoa povu..Haaaa, tunapita pembeni
![]()
Walio toa mimba hapa hawapo, na huwezi kuthihilisha kwa kumwangalia.Mkuu ivi unajua kuna mademu wanatoa wameshatoa mimba kibao ..nahuyo ndo unaenda Oa?Yupi bora, Alotoa mimba zaidi ya tano Ila hana mtoto... Au aliye pata mimba moja naakamua kuzaa ?.
Ukishamwelewa MTU ,hata km amezaa Toa mahari ya kujitosheleza.
Nenda Ukuryani, Uone Jamaa wanavyotoa mahari, wanalipia Mke, wanalipia Watoto kutumia Ubini wake.
Sasa nenda nakapua kako eti unataka Mtoto wako Hahahahaha.... Utabakisha Kinyeo mlangoni
Thubutu wengi kibao wanaficha akisema analiwa alafu msela anasepa.sasa ndo ujue Sio dhambi kuzaa... umempenda Toa mahari , nasio kulialia hapa ,kwan mwanawe ni mzigo ?.mpaka unamtongoza siunajua kabisa ? Unatangaza nia Yakuoa siunajua kabisa??? .
Mbona unapita pembeni, status yako vipi? Single mum au?Haaaa 😀, tunapita pembeni 💃
Hivi una umri wa miaka mingapi?Mkuu ivi unajua kuna mademu wanatoa wameshatoa mimba kibao ..nahuyo ndo unaenda Oa?Yupi bora, Alotoa mimba zaidi ya tano Ila hana mtoto... Au aliye pata mimba moja naakamua kuzaa ?.
Ukishamwelewa MTU ,hata km amezaa Toa mahari ya kujitosheleza.
Nenda Ukuryani, Uone Jamaa wanavyotoa mahari, wanalipia Mke, wanalipia Watoto kutumia Ubini wake.
Sasa nenda nakapua kako eti unataka Mtoto wako Hahahahaha.... Utabakisha Kinyeo mlangoni
Mahari inategemea kama binti ni bikra ni kubwa kuliko ambaye siyo bikra, then mahari ya single mum ni ndogo zaidi ya ambaye hana mtoto hata kama ashatoa mimba 100. Hii inatokana na mzigo unaojitwisha na gunia la misukari unalolikubali kulibeba. Ni ukweli usiopingika kuwa wanawake ni wajanja sana, kwa amateur ataona singo maza ana mapenzi ya dhati! Thubutu yeye ana experiences za kuishi na wanaume na ukijitokeza tu, lazima uchanganyikiwe.