tian
JF-Expert Member
- Jul 27, 2007
- 1,770
- 538
Habari Zenu Ndugu Zangu Wana MMU.Nilikuwa Sijawahi kuhudhuria tendo la kutoa posa kwa Wanyakyusa ila leo nimekuwa mmoja wapo wa kupeleka barua ya posa.
Swala la kupanga mahari limentoa macho kidogo huenda ni mimi kutokuwa na uzoefu.Kama ilivyo ada tumewasilisha barua vyema wakaipokea vizuri sana na baadaye tukapewa majibu kamaa ifuatavyo.
Mshenga upande wa binti kaanza kwa kusema sisi wanyakyusa huwa tunazo mahari mara mbili.(1).Mahari Ya Unyago ambayo ni non negotiable,ni kama ifuatavyo.
1.Ng'ombe Dume ambaye dhamani yake ni Tshs.500,000.Na hapa lazima utoe hela ng'ombe haitajiki.
2.Tshs.400,000 Za Mama Mzazi.
3.Blanketi 2 za wazazi.
4.Vitenge kulingana na idadi ya mashangazi.
5.Blanketi 2 za Bibi
6.Majembe Mawili.
(2)...Mahari Ya Pili ni negotiable:
1.Ng'ombe Wanne Majike.
2.Vitenge Vya Mashangazi.
Jamani nia yangu ya kuleta hili swala hapa ni kupata mtazamo wenu.
Je,Kwa Kijana wa kiume ambaye ametoka kwenye familia hohehahe ataweza kweli??
KARIBUNI MNIPE MTAZAMO WENU.
Swala la kupanga mahari limentoa macho kidogo huenda ni mimi kutokuwa na uzoefu.Kama ilivyo ada tumewasilisha barua vyema wakaipokea vizuri sana na baadaye tukapewa majibu kamaa ifuatavyo.
Mshenga upande wa binti kaanza kwa kusema sisi wanyakyusa huwa tunazo mahari mara mbili.(1).Mahari Ya Unyago ambayo ni non negotiable,ni kama ifuatavyo.
1.Ng'ombe Dume ambaye dhamani yake ni Tshs.500,000.Na hapa lazima utoe hela ng'ombe haitajiki.
2.Tshs.400,000 Za Mama Mzazi.
3.Blanketi 2 za wazazi.
4.Vitenge kulingana na idadi ya mashangazi.
5.Blanketi 2 za Bibi
6.Majembe Mawili.
(2)...Mahari Ya Pili ni negotiable:
1.Ng'ombe Wanne Majike.
2.Vitenge Vya Mashangazi.
Jamani nia yangu ya kuleta hili swala hapa ni kupata mtazamo wenu.
Je,Kwa Kijana wa kiume ambaye ametoka kwenye familia hohehahe ataweza kweli??
KARIBUNI MNIPE MTAZAMO WENU.