Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,668
- 11,333
Heri usukumani kuna mahari ya ng'ombe mnyama na ng'ombe fedha (ambayo kidogo ina unafuu kuliko kuambiwa kuleta ng'ombe original)Bei ya ngombe dume na mkaja wa mama vinapangwa na kwa kuangalia uwezo wa muoaji.
Binti ndio anajua uwezo wa mwanaume hivyo wanaweza kutaja hata 50,000-milioni kwa bei ya ng'ombe dume. Na mkaja inaweza kua 20,000-500,000 na hata zaidi.