Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Unajua kila chakula huwa kina sifa zake. Jamani hapa katika utafuti wangu nimegundua yafuatayo kutokana na maharage ya mbeya.
1. Yana maji mengi sana ukiyapika sana yanakuwa uji uji mweupeee!
2. Ukitia maji mara moja tu yanalainika, yananyooka, we acha tu.
3. Mengi huwa ni manene manene. watu wengi huwa inabidi wazime taa wanapoyapika.
4. Kwenye halufu usiseme. Duh mwanangu haya maharage!!
5. Haya hitaji viungo vingi. Tia chunvi kidogo tu. Mwanangu ukiongeza madikodiko utayaharibu na hautaweza kuyatumia tena.
6. Mengi huwa ni meupe, meupe. Meusi huwa ni machache tu. Kwameupe usiseme.
Maharage ya mbeya jamanii.
1. Yana maji mengi sana ukiyapika sana yanakuwa uji uji mweupeee!
2. Ukitia maji mara moja tu yanalainika, yananyooka, we acha tu.
3. Mengi huwa ni manene manene. watu wengi huwa inabidi wazime taa wanapoyapika.
4. Kwenye halufu usiseme. Duh mwanangu haya maharage!!
5. Haya hitaji viungo vingi. Tia chunvi kidogo tu. Mwanangu ukiongeza madikodiko utayaharibu na hautaweza kuyatumia tena.
6. Mengi huwa ni meupe, meupe. Meusi huwa ni machache tu. Kwameupe usiseme.
Maharage ya mbeya jamanii.