Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,798
- 12,239
Nenda mahakamani sasa hivi utaona jinsi mahakama zetu zinavyo washughulikia vibaka na wezi wa kuku bila huruma hata kama mtuhumiwa ni dhoofu bin hali kwa njaa na umasikini.
Inapokuja suala la kushughulikia mambo ya msingi ya kulinda katiba, sheria za nchi dhidi ya serikali, utawala bora na haki za binadamu, mahakama zetu ni dhaifu hakuna mfano! Mahakama zetu zinashindwa kuchukua nafasi yake ya kulinda wananchi, katiba ya nchi na utawala bora. Mahakama zinajipendekeza kwa wanasiasa na kusahau kuwa ni muhimili huru na unaojitegemea! Hivi sasa mahakama ni mali ya serikali na wanasiasa! Kazi kubwa inayofanywa na mahakama ni kumuapisha Rais na Makamu wake!
Ni bora mahakama hizi zivunjwe na kufutwa kabisa na badala yake tubaki na wenyeviti na watendaji vijiji na vitongoji kusimamia haki na kuhukumu wezi kwa sababu wazifanya kazi hizi kwa ufanisi mkubwa kuzidi mahakama!
Inapokuja suala la kushughulikia mambo ya msingi ya kulinda katiba, sheria za nchi dhidi ya serikali, utawala bora na haki za binadamu, mahakama zetu ni dhaifu hakuna mfano! Mahakama zetu zinashindwa kuchukua nafasi yake ya kulinda wananchi, katiba ya nchi na utawala bora. Mahakama zinajipendekeza kwa wanasiasa na kusahau kuwa ni muhimili huru na unaojitegemea! Hivi sasa mahakama ni mali ya serikali na wanasiasa! Kazi kubwa inayofanywa na mahakama ni kumuapisha Rais na Makamu wake!
Ni bora mahakama hizi zivunjwe na kufutwa kabisa na badala yake tubaki na wenyeviti na watendaji vijiji na vitongoji kusimamia haki na kuhukumu wezi kwa sababu wazifanya kazi hizi kwa ufanisi mkubwa kuzidi mahakama!