Mahakama yatupilia mbali Kesi ya Mbowe ya Kikatiba dhidi ya IGP, DPP na Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Akili za mawakili wa Mbowe kama za BAVICHA!

Kulalamika kwingi, vipingamizi Vingi, maneno mengi, LAKINI hayana msingi, yanakosa logic, yanajikita kwenye vitu vidovidogo na kushindwa kuaddress core issues!
 
Unatakiwa pia kusema Mungu Mbariki Mbowe ili atoke mapema huko korokoroni! Maana hata wewe kada wa ccm, unatambua fika hii kesi ni ya kubambikiwa na polisi wakishirikiana na mfumo, kwa lengo tu la kumkomesha.

Hivi Tate Mkuu kada ni mtu wa aina gani

Mhimili umefanya kazi yake
 
Duh! Safari hii wamemng'ang'ania kweri kweri ndugu Mbowe.. Yaani wamekaba mpaka penalt.. Ndo maisha aliyochagua MUNGU atamsaidia.. Kisichokuua kinakukomaza akitoboa huko.. Naamini wanadhani wanamkomoa kumbe wanazidi kumfanya awe imara.. Akitoka na agombee na uraisi 2025 atashinda asubuhi tu. Samia na wenzake wakiachwa midomo wazi wasiamin kilichotokea.
 
Nani alisema mahakama iko vizuri? Hiyo mahakama ndio iliagizwa aina ya hukumu ya kutoa. Usidhani hatujui ni kipi kilikuwa kinaongelewa.
kina mdude walivoachiwa muhimili ulikua vizuri ila alipowekwa hatiani mzee baba muhimili mbovu
 
Unatakiwa pia kusema Mungu Mbariki Mbowe ili atoke mapema huko korokoroni! Maana hata wewe kada wa ccm, unatambua fika hii kesi ni ya kubambikiwa na polisi wakishirikiana na mfumo, kwa lengo tu la kumkomesha.
Mbowe ni kama Mandela Mkuu, haogopi jela
 
Hivi unawezaje kumshudia mwenzako kwa jambo la uongo halafu ukabaki na amani....!!!? Ila hakuna marefu yasioyokua na ncha ipo siku inakuja wale waliozoea kuteka, kuua, na kunyanyasa wenzao zamu yao itafika. Mungu ampe nguvu na ustahimilivu bwana Mbowe na familia yake yote.
 
Ni kweli shetani hajawahi kumshinda mungu au siyo Erythrocyte ! Mungu ibariki mahakama
 
Mbowe ni Mandela wa TZ, akitoka huko moja kwa moja anaukwaa Urais 2025
 
All, all and all, including CJ wote ni majaji wa UPJ (Univeral Primary Judges) au UPE tuliyoizoea
 
Nani alisema mahakama iko vizuri? Hiyo mahakama ndio iliagizwa aina ya hukumu ya kutoa. Usidhani hatujui ni kipi kilikuwa kinaongelewa.
Kwa sabaya si ulikuja huku jf unakata viuno unasema mahakama iko huru na haki.
 
Muwe mnatawala kwa kutulia jamani

Kwenye utawala kuna stakeholders wengi,break a deal,kila mtu awe happy na nchi iende mbele

Mama anapata shida mno going forward sababu akili yake haielewi this fact.

Na atateseka mno
Ni kosa lake , dawa avunjilie mbali huu uvamizi uliopewa Jina la muungano Na ajirudie zake Zanzibar, awaache muamuwe wenyewe hatima yenu
 
Sijawahi kusifia hizo mahakama za ccm. Sabaya hata asingepelekwa mahakamani, bado haiondoi ukweli kuwa alikuwa ni agent wa kutekeleza maovu ya yule kiongozi dhalimu aliyeko motoni muda huu.
Kwa sabaya si ulikuja huku jf unakata viuno unasema mahakama iko huru na haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…