Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 376
- 450
Sipati picha hivi kama mzee kinana na mzee makamba wangefungua kesi za madai dhidi yake .ingekuwaje kwa huyu mwanaharakati?
Kwa hiyo huyu mwamba kwa sasa ana madeni yapatayo 13bilion! Manake kule kuna shangazi Fatuma alipata tuzo ya 7b na huku Membe 6b. Nadhani sasa Musiba ni raia anayedaiwa madeni makubwa kuliko raia yeyote hapa nchini na anastahili sifa ya Highly Indebted Poor Person (HIPC).
YesJe unapomuweka ndani jela mdaiwa kwenye hiyo option , mdai ndio anamgharamia mfungwa?
🤣🤣🤣😊Aanze kulipa Bukubuku kwa siku, mdogomdogo atamaliza...
Kujifanya unatetea dubwana kubwa linaloitwa au litaasisi kubwa lenye mizizi iliyojichimbia sana alafu huna koneksheni za maana ni ujinga.
ujanja wa mwanasiasa na mpambe wake huwa ni miaka mitano. Sasa unapokuwa shabiki wa mtu mwenye kinga kisheria ibadi akili iwe nyepesi sana kujiongeza na kucheza miguu yote miwili huku ukiweka akiba incase akafariki siasa au akafariki dunia kabisa.
Alikuwa na mashabiki?
Msiba hakuwa na akili kabisa!
Eti wewe Membe,kama kaka yako Kikwete alishindwa kukupitisha kua Rais,sasa hivi ndiyo utaweza?? Masikini huyu jamaa hakujua kwamba kuna kesho,tumbo lake ndiyo lilikua linamsumbua kwa njaa kali!
Apewe tuzo kabisa au forbes wamwandikeKwa hiyo huyu mwamba kwa sasa ana madeni yapatayo 13bilion! Manake kule kuna shangazi Fatuma alipata tuzo ya 7b na huku Membe 6b. Nadhani sasa Musiba ni raia anayedaiwa madeni makubwa kuliko raia yeyote hapa nchini na anastahili sifa ya Highly Indebted Poor Person (HIPC).
Mkuu nimecheka kinoma, eti 'unahisi Mahakama ni Bavicha?'Unahisi Mahakama ni Bavicha?
Huyu jamaa siku Mzilamakende amekufa nahisi alishinda anaharisha..Kabla sponsor wa matendo ya kihalifu na kuchafua watu majina hajafa.Bwana Chato rest in hell!
View attachment 1989477
Nadhani 7Mwaka.wake huu, na zike za Fatma Karume zilikuwa kiasi gani vile?
Aliemtuma kafa sasa atamsaidiaje labda awaombe sukuma gang wamsaidieWaliomtuma kutukana watu wamsaidie kulipa
Kwasasa Yupo Guta ukiwa unatoka Bunda unaenda Bunda.Hivi musiba Yuko wap sikuhiz?
Sukuma gang wenyewe washapoteana kabisa baada ya kusambaratishwa. Kiufupi Musiba kaachiwa furushi na NNYA apambane nalo 😀Aliemtuma kafa sasa atamsaidiaje labda awaombe sukuma gang wamsaidie
Wafuasi wenzake waliokuwa wanachekelea matusi yake bado wapo.Aliemtuma kafa sasa atamsaidiaje labda awaombe sukuma gang wamsaidie
Huyu hata tigo niwezeshe au nipige tafu hakopeshekiKwa lugha ya mtaani hakopesheki hata vikoba.