benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,032
Habari kubwa leo ni kifo cha aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Mhe.Bernard Kamilius Membe, ambaye amefariki dunia katika Hospitali ya Kairuki mkoani Dar es Salaam.
Swali linalogonga vichwa vya watu wengi ni je nini kitatokea kwa ndugu Cyprian Musiba anayejitambulisha kama mwanaharakati huru ambaye Mahakama ilimuamuru kulipa fidia ya takriban Shilingi Bilioni 18.58 kwa ndugu Membe ambaye sasa ni Marehemu.
Wataalamu tupeane elimu hapa
Swali linalogonga vichwa vya watu wengi ni je nini kitatokea kwa ndugu Cyprian Musiba anayejitambulisha kama mwanaharakati huru ambaye Mahakama ilimuamuru kulipa fidia ya takriban Shilingi Bilioni 18.58 kwa ndugu Membe ambaye sasa ni Marehemu.
Wataalamu tupeane elimu hapa