Huaminiki wewe msichanaWamwachie tu!
Huaminiki wewe msichanaWamwachie tu!
Polisi wanapoteza muda tu na kesi hewaKesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu inaendelea kuunguruma kwenye Mahakama ya Uhujumu uchumi , Ambapo mvutano wa kisheria umekuwa mkali hasa baada ya Mapingamizi yaliyowekwa na Mawakili wa Mbowe kuwa ya moto .
Kesi imeahirishwa kwa muda ili kuiruhusu Mahakama kupitia mapingamizi hayo na ufafanuzi wa mawakili wa serikali
View attachment 1922291
Serikali inawapa wakati mgumu majaji kama alivyowahi kusema kwa Rais Magufuli mmoja wa majaji wakuu wastaafu.Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu inaendelea kuunguruma kwenye Mahakama ya Uhujumu uchumi , Ambapo mvutano wa kisheria umekuwa mkali hasa baada ya Mapingamizi yaliyowekwa na Mawakili wa Mbowe kuwa ya moto .
Kesi imeahirishwa kwa muda ili kuiruhusu Mahakama kupitia mapingamizi hayo na ufafanuzi wa mawakili wa serikali
View attachment 1922291
Ameni!Mungu mbariki mbowe , mtetee, pia mtoe katika mikono ya watesi wake!
Daima uwe upande wake!
Ndio maana Hamza aliona isiwe tabu,akawanyoosha.Polisi wanapoteza muda tu na kesi hewa
Ameni!
Ameni!Wamtumainiao Mola wapigapo magoti yao kumlilia juu ya wenye haki, yeye hutenda.
Eeh Mola wetu uliye mfanya Farao akaukiri uwepo wako, hebu na ukatoe funzo hapa pia.
We mzee huwa sikielewi si mnasema ni gaidi ccm acheni kujiaibisha makaburi yenu yatakuja pingwa mawe na vitukuu shauri yenuWamwachie tu!
Mjinga mmoja wewe Hamza wenu ndio gaidi Tena inaonekana huko ccm ndio Kuna chuo Cha magaidiMbowe gaidi,acha aipate fresh
Ninacho elewa ni kwamba MUNGU habahatishi, akitenda, watesi wata tafutana sana tu,
na yey akanyooshwa piaNdio maana Hamza aliona isiwe tabu,akawanyoosha.
Yeye amesumbua wangapi?Ushetani wa ajabu kusumbua binadamu wenzao.
View attachment 1922287
- The normal rule is that criminal proceedings should be conducted publicly.
- Nonetheless, courts do have power to order that the public be excluded.
- The exercise of that power, in common with any other derogation from the principles of open justice, should be strictly confined to cases where the public's presence would 'frustrate or render impracticable the administration of justice'.
hivi kumbe ni binti huyu??Huaminiki wewe msichana
Mwamba kawa mdogo balaa, anatia huruma kwa kweli, mwachie tu akapumzike zake Kenya na Dubai, kwanza kwa umri wake hiyo mikikimikiki haimfai kwa sasa, awaachie akina Pambalu, yeye acheze nyuma ya stage
Acha ushamba, kujua umombo siyo kujua sheriaKati ya vitu nimeshuhudia Leo kuwa Kuna watu wanaijua Sheria na wengine wanabebwa na katiba mbovu basi ni leo hii, maana sio kwa umombo ule uliojaa vocabulary za adabu za kisheria Hadi nikatamani kurudi shule loooh