Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,219
Jambo analofanya Samia ni kuacha system ifanye kazi bila kuingiliwa na yeyote, tatizo sasa hao waongoza system wetu ni majanga matupuu. Mwisho wa siku tunajikuta Rais akiwa mkali ni shida, akiwa mpole ni shida piaExactly, nia ovu yao lazima waitimize, hawawezi kuacha hivi hivi, labda Samia wamwambie kuwa achana na hii kitu inakufedhehesha. Nani wa kumwambia hivyo?