Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,863
- 93,641
Ndiyo mjue kuwa hapa hakuna mahakama ni matawi ya CCMLeo tarehe 28.01.2022 Mahakama Kuu ya Tanzania chini ya majaji watatu wakiongozwa na Jaji Mgeta, imetupilia mbali kesi ya kikatiba Na 2 ya 2022 iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi, Francis Mbatia dhidi ya aliyekuwa Spika wa bunge, Job Ndugai...