Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,494
- 1,874
Vyovyote vile, kuna tija gani ya Ndugai kubaki spika? Tunataka katiba mpya na bora, siyo hii mbovu!Nafikiri una kitu cha kujifunza zaidi! Soma hizi nakala then rudi tena utuambue ilikuwa sawa? Hii barua imendikwa tu katikati hapa baada ya kuona wataumbuka ila barua aliandikiwa katibu wa CCM na sio Katibu wa Bunge na mpaka Katibu wa Bunge alitoka kueleza kuwa anasubiri Katibu Mkuu wa Chama amjulishe ndo atasema kitu na barua zipo! Na ndiyo maana ata wameamua kufuta kwenye website zao za bunge na page social mediaView attachment 2098606View attachment 2098608View attachment 2098609