Arusha: Rais Samia atoa TZS 520BL sawa na 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka

Hayo ni mahaba au jukumu lake ?
"Ni kama kusema mahaba ya mwalimu wa shule ya msingi, kasahihisha madaftari 200 ya wanafunzi wa darasa la 4B"
 
Huu ni chochezi wa kiwango cha lami yaan serikali itowe pesa alafu wewe unatuletea ngonjela kuwa mama katowa pesa! Hivi ni kweli umeongea kwa kufikiri
 

Hakika mahaba ya Rais Samia kwa watu wa Kaskazini usipime, ametoa TZS 520BL za maji Arusha ikiwa ni zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka.​

" Hakuna kama Samia "​


Hakika kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan haikamatiki,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti tofauti ukanda huo hatimaye Rais Samia amelimaliza kirahisi tu na hii ndio raha ya kuwa na Rais Mzalendo kama Mama Samia Suluhu,

Bajeti nzima ya maji ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021|22 ni karibu 589BL hii ni kwa mujibu wa bajeti kuu ya Serikali, Rais Samia Suluhu kwa mahaba yake na watu wa Kaskazini kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini ameamua kufanya reallocation ya pesa ili Arusha na viunga vyake wapate kiasi hicho cha fedha na hapa nainyooshea kidole CHADEMA kwa kuwachelewesha watu wa Arusha kwa kiasi hiki na kwahakika hawapashwi kuchaguliwa tena,

Kwamsiofahamu,Mradi huu mkubwa wa kihistoria wa Mama Samia unategemewa kutoa Jumla ya Lita 200Milioni kwa siku huku mahitaji halisi ikiwa ni Lita 109Milioni tu kwa siku na hivyo kuwa na ziada ya karibu lita 91Milioni kwa siku ziada ambayo itapelekwa maeneo ya Arumeru na maeneo mengine mengi,

Wakati huohuo Mhe Rais akiwa katika mradi huo wa maji alimmwagia pongezi za dhati Mhe Juma Aweso Waziri wa Maji kwa kile alichokiita uwajibikaji wa kutiliwa mfano ndani ya baraza Lake la Mawaziri,Hongera Aweso kazi zako ni awesome kila Mtanzania atakubaliana na Mhe Rais unastahili songa mbele,


RAIS SAMIA MZALENDO WA VITENDO

Sawa.....kazi iendelee
 

Hakika mahaba ya Rais Samia kwa watu wa Kaskazini usipime, ametoa TZS 520BL za maji Arusha ikiwa ni zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka.​

" Hakuna kama Samia "​


Hakika kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan haikamatiki,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti tofauti ukanda huo hatimaye Rais Samia amelimaliza kirahisi tu na hii ndio raha ya kuwa na Rais Mzalendo kama Mama Samia Suluhu,

Bajeti nzima ya maji ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021|22 ni karibu 589BL hii ni kwa mujibu wa bajeti kuu ya Serikali, Rais Samia Suluhu kwa mahaba yake na watu wa Kaskazini kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini ameamua kufanya reallocation ya pesa ili Arusha na viunga vyake wapate kiasi hicho cha fedha na hapa nainyooshea kidole CHADEMA kwa kuwachelewesha watu wa Arusha kwa kiasi hiki na kwahakika hawapashwi kuchaguliwa tena,

Kwamsiofahamu,Mradi huu mkubwa wa kihistoria wa Mama Samia unategemewa kutoa Jumla ya Lita 200Milioni kwa siku huku mahitaji halisi ikiwa ni Lita 109Milioni tu kwa siku na hivyo kuwa na ziada ya karibu lita 91Milioni kwa siku ziada ambayo itapelekwa maeneo ya Arumeru na maeneo mengine mengi,

Wakati huohuo Mhe Rais akiwa katika mradi huo wa maji alimmwagia pongezi za dhati Mhe Juma Aweso Waziri wa Maji kwa kile alichokiita uwajibikaji wa kutiliwa mfano ndani ya baraza Lake la Mawaziri,Hongera Aweso kazi zako ni awesome kila Mtanzania atakubaliana na Mhe Rais unastahili songa mbele,


RAIS SAMIA MZALENDO WA VITENDO

Mahaba kwa watu wa kaskazini,ww pumbav sana
 

Hakika uongozi wa Rais Samia ni neema tupu kila kona ya nchi |Arusha wapewa TZS 5.2B kwa mwaka kama 10% ya mapato ya Jiji kwaajili Vijana, wanawake na walemavu,Machali wa " R " Changamkeni acheni Ukamanda fake,​

" Hakuna kama Samia "​


Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima ameukuna mtima wa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa tshs 1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka,Nakwamantiki hiyo kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,

Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2,Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.

Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni, Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.


MACHALI WA " R " CHANGAMKENI
 
Tumuelewe nani? Chadema vipi?

Hizi propaganda kawapelekee wajinga huko vijijini wasiojua lolote. Huo mradi ulikuwa ni wa mkopo kipindi cha mwisho wa utawala wa JK, wakati huo mipango yote ilishakamilika na pesa zakaingia wakati dhalimu akiwa madarakani. Mama wa kambo yeye kaokoto dodo chini ya mnazi.
 

Hakika uongozi wa Rais Samia ni neema tupu kila kona ya nchi |Arusha wapewa TZS 5.2B kwa mwaka kama 10% ya mapato ya Jiji kwaajili Vijana, wanawake na walemavu,Machali wa " R " Changamkeni acheni Ukamanda fake,​

" Hakuna kama Samia "​


Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima ameukuna mtima wa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa tshs 1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka,Nakwamantiki hiyo kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,

Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2,Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.

Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni, Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.


MACHALI WA " R " CHANGAMKENI

😍
 
Ebu subiri hayo maji kwanza maana kusema na kutenda ni vitu tofauti kbsa katika nchi hii
 
Bilioni 520 kwa ajili ya maji....

Leo anatuletea UZINDUZI WA KIWANDA CHA NYAMA jirani na Namanga 💪

Siempre JMT
 
Na CCM mngekua na akili msingezalisha Majambazi (Sabaya) na Magaidi (Hamza)
FB_IMG_16289275513436052.jpg
 
Hakika uongozi wa Rais Samia ni neema tupu kila kona ya nchi |Arusha wapewa TZS 5.2B kwa mwaka kama 10% ya mapato ya Jiji kwaajili Vijana, wanawake na walemavu,Machali wa " R " Changamkeni acheni Ukamanda fake,
" Hakuna kama Samia "

Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima ameukuna mtima wa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa tshs 1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka,Nakwamantiki hiyo kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,

Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2,Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.

Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni, Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.

asante sana Crde
 

Hakika mahaba ya Rais Samia kwa watu wa Kaskazini usipime, ametoa TZS 520BL za maji Arusha ikiwa ni zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka.​

" Hakuna kama Samia "​


Hakika kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan haikamatiki,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti tofauti ukanda huo hatimaye Rais Samia amelimaliza kirahisi tu na hii ndio raha ya kuwa na Rais Mzalendo kama Mama Samia Suluhu,

Bajeti nzima ya maji ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021|22 ni karibu 589BL hii ni kwa mujibu wa bajeti kuu ya Serikali, Rais Samia Suluhu kwa mahaba yake na watu wa Kaskazini kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini ameamua kufanya reallocation ya pesa ili Arusha na viunga vyake wapate kiasi hicho cha fedha na hapa nainyooshea kidole CHADEMA kwa kuwachelewesha watu wa Arusha kwa kiasi hiki na kwahakika hawapashwi kuchaguliwa tena,

Kwamsiofahamu,Mradi huu mkubwa wa kihistoria wa Mama Samia unategemewa kutoa Jumla ya Lita 200Milioni kwa siku huku mahitaji halisi ikiwa ni Lita 109Milioni tu kwa siku na hivyo kuwa na ziada ya karibu lita 91Milioni kwa siku ziada ambayo itapelekwa maeneo ya Arumeru na maeneo mengine mengi,

Wakati huohuo Mhe Rais akiwa katika mradi huo wa maji alimmwagia pongezi za dhati Mhe Juma Aweso Waziri wa Maji kwa kile alichokiita uwajibikaji wa kutiliwa mfano ndani ya baraza Lake la Mawaziri,Hongera Aweso kazi zako ni awesome kila Mtanzania atakubaliana na Mhe Rais unastahili songa mbele,


RAIS SAMIA MZALENDO WA VITENDO

Huyu ndio Rais tulimngojea miaka mingi

Hongera sana Rais Samia
 
Hakika uongozi wa Rais Samia ni neema tupu kila kona ya nchi |Arusha wapewa TZS 5.2B kwa mwaka kama 10% ya mapato ya Jiji kwaajili Vijana, wanawake na walemavu,Machali wa " R " Changamkeni acheni Ukamanda fake,
" Hakuna kama Samia "

Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima ameukuna mtima wa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa tshs 1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka,Nakwamantiki hiyo kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,

Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2,Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.

Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni, Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.

Hongera Dk John Marco Pima
Hongera Rais Samia
 
Back
Top Bottom