Arusha: Rais Samia atoa TZS 520BL sawa na 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka

Rudi shule ukajifunze propaganda, huo mradi ni wa enzi za JK, tena dhalimu alitaka kupora hizo hela apeleke huo mradi kanda ya ziwa, watoa mkopo wakamgomea. Katafuteni wajinga wasiojua lolote ndio uwalishe hii propaganda mfu.
Imradi tu iwepo sehemu ya kumponda mwendazake na kumsifia JK.Tuna upinzani wa ovyo sana.Nyie watu Magufuli alishakufa na hakuna haja ya kuendelea kupambana naye kama njia ya kushika dora.
 

Hakika mahaba ya Rais Samia kwa watu wa Kaskazini usipime, ametoa TZS 520BL za maji Arusha ikiwa ni zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka.​

" Hakuna kama Samia "​


Hakika kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan haikamatiki,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti tofauti ukanda huo hatimaye Rais Samia amelimaliza kirahisi tu na hii ndio raha ya kuwa na Rais Mzalendo kama Mama Samia Suluhu,

Bajeti nzima ya maji ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021|22 ni karibu 589BL hii ni kwa mujibu wa bajeti kuu ya Serikali, Rais Samia Suluhu kwa mahaba yake na watu wa Kaskazini kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini ameamua kufanya reallocation ya pesa ili Arusha na viunga vyake wapate kiasi hicho cha fedha na hapa nainyooshea kidole CHADEMA kwa kuwachelewesha watu wa Arusha kwa kiasi hiki na kwahakika hawapashwi kuchaguliwa tena,

Kwamsiofahamu,Mradi huu mkubwa wa kihistoria wa Mama Samia unategemewa kutoa Jumla ya Lita 200Milioni kwa siku huku mahitaji halisi ikiwa ni Lita 109Milioni tu kwa siku na hivyo kuwa na ziada ya karibu lita 91Milioni kwa siku ziada ambayo itapelekwa maeneo ya Arumeru na maeneo mengine mengi,

Wakati huohuo Mhe Rais akiwa katika mradi huo wa maji alimmwagia pongezi za dhati Mhe Juma Aweso Waziri wa Maji kwa kile alichokiita uwajibikaji wa kutiliwa mfano ndani ya baraza Lake la Mawaziri,Hongera Aweso kazi zako ni awesome kila Mtanzania atakubaliana na Mhe Rais unastahili songa mbele,


RAIS SAMIA MZALENDO WA VITENDO

Kichwa cha habari ulichikiweka ni hatari sana kwani nchi haiongozi kwa mahaba hata kama katoa pesa nyingi serikali imeona Arusha inastaili
 
Hizi propaganda kawapelekee wajinga huko vijijini wasiojua lolote. Huo mradi ulikuwa ni wa mkopo kipindi cha mwisho wa utawala wa JK, wakati huo mipango yote ilishakamilika na pesa zakaingia wakati dhalimu akiwa madarakani. Mama wa kambo yeye kaokoto dodo chini ya mnazi.
Mbona unajichanganya sana hahahahhah. Chuki dhidi ya Magufuli hazitawaingiza madarakani
 
...,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti
Hapo umeweka chumvi, unapolinganisha mwakilishi wa wananchi (mbunge bila kujali mpinzani au CCM) vs mwenye uamuzi wa mwisho serikalini usioweza kupingika popote akiwa madarakani (rais).
Ingekuwa fair kama ungewalinganisha marais wote waliopita vs wa sasa, maana hao waliopita walikuwa na uwezo pia wa kufanya hivyo, lakini pengine haukuwa uamuzi chaguo lao
 
Mbona zimetolewa awamu ya tano na mradi karibu unakamilika
Boss, usishangae, hawa ndio vijana wetu, hawajui trillions 2 zilitolewa mkopo kwa ajiri ya miradi ya maji Tanzania, Arusha wakapata Bil500 , zingine zikapelekwa mikoa mingine.
 

Hakika mahaba ya Rais Samia kwa watu wa Kaskazini usipime, ametoa TZS 520BL za maji Arusha ikiwa ni zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka.​

" Hakuna kama Samia "​


Hakika kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan haikamatiki,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti tofauti ukanda huo hatimaye Rais Samia amelimaliza kirahisi tu na hii ndio raha ya kuwa na Rais Mzalendo kama Mama Samia Suluhu,

Bajeti nzima ya maji ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021|22 ni karibu 589BL hii ni kwa mujibu wa bajeti kuu ya Serikali, Rais Samia Suluhu kwa mahaba yake na watu wa Kaskazini kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini ameamua kufanya reallocation ya pesa ili Arusha na viunga vyake wapate kiasi hicho cha fedha na hapa nainyooshea kidole CHADEMA kwa kuwachelewesha watu wa Arusha kwa kiasi hiki na kwahakika hawapashwi kuchaguliwa tena,

Kwamsiofahamu,Mradi huu mkubwa wa kihistoria wa Mama Samia unategemewa kutoa Jumla ya Lita 200Milioni kwa siku huku mahitaji halisi ikiwa ni Lita 109Milioni tu kwa siku na hivyo kuwa na ziada ya karibu lita 91Milioni kwa siku ziada ambayo itapelekwa maeneo ya Arumeru na maeneo mengine mengi,

Wakati huohuo Mhe Rais akiwa katika mradi huo wa maji alimmwagia pongezi za dhati Mhe Juma Aweso Waziri wa Maji kwa kile alichokiita uwajibikaji wa kutiliwa mfano ndani ya baraza Lake la Mawaziri,Hongera Aweso kazi zako ni awesome kila Mtanzania atakubaliana na Mhe Rais unastahili songa mbele,


RAIS SAMIA MZALENDO WA VITENDO

Umemharibia tayari, maana umedai ana mahaba na kasikazini kwa mantiki hiyo kwingine kote hana mahaba......that is pure corruption
 
Mnamharibia mama...Hizi fedha mnazotumia kwa propaganda kumchonganisha na aliyekuwa bosi wake zinamdhoofisha.Yeye keshasema Kazi inaendelea maana yake utekelezaji wa ilani ya CCM haujakosewa na kama kawaida CCM ina tabia ya kujirekebisha.Anaporekebisha masuala fulani ni kwa Afya ya CCM na nchi na imekuwa ikifanyika hivyo hata wakati Mwinyi anachukua madaraka kwa Nyerere...Mkapa alipochukua madaraka kwa Mwinyi...kikwete alipochukua kwa mkapa na hata Magufuli alipochukua kwa kikwete...CCM must be careful to these groups kwa sababu mwisho wa siku CCM itashindwa uchaguzi
 
Mnamharibia mama...Hizi fedha mnazotumia kwa propaganda kumchonganisha na aliyekuwa bosi wake zinamdhoofisha.Yeye keshasema Kazi inaendelea maana yake utekelezaji wa ilani ya CCM haujakosewa na kama kawaida CCM ina tabia ya kujirekebisha.Anaporekebisha masuala fulani ni kwa Afya ya CCM na nchi na imekuwa ikifanyika hivyo hata wakati Mwinyi anachukua madaraka kwa Nyerere...Mkapa alipochukua madaraka kwa Mwinyi...kikwete alipochukua kwa mkapa na hata Magufuli alipochukua kwa kikwete...CCM must be careful to these groups kwa sababu mwisho wa siku CCM itashindwa uchaguzi
Hahahha wewe jamaa unaakili ndogo sana,

Hebu tuambie Rais kuweka 520bl kwenye maji kunamuharibiaje Rais na CCM?

Au ndio kulinda tu legacy?
 
Zilitolewa lini?

Hahaha huu mwaka mgumu sana kwa pingapinga
Boss, usishangae, hawa ndio vijana wetu, hawajui trillions 2 zilitolewa mkopo kwa ajiri ya miradi ya maji Tanzania, Arusha wakapata Bil500 , zingine zikapelekwa mikoa mingine.
 
Hapo umeweka chumvi, unapolinganisha mwakilishi wa wananchi (mbunge bila kujali mpinzani au CCM) vs mwenye uamuzi wa mwisho serikalini usioweza kupingika popote akiwa madarakani (rais).
Ingekuwa fair kama ungewalinganisha marais wote waliopita vs wa sasa, maana hao waliopita walikuwa na uwezo pia wa kufanya hivyo, lakini pengine haukuwa uamuzi chaguo lao
Chadema mmetuchelewesha sana Ova
 
Hahahha wewe jamaa unaakili ndogo sana,

Hebu tuambie Rais kuweka 520bl kwenye maji kunamuharibiaje Rais na CCM?

Au ndio kulinda tu legacy?
Mkuu

Hizo namba za pesa zinazotajwa hazina uhalisia wowote maana hakuna yoyote yaliyotamalaki kama inavyodaiwa inawezekana zinapigwa kwa kichaka kwamba zimetolewa kuboreesha huduma ya maji.
 
Kichwa cha habari ulichikiweka ni hatari sana kwani nchi haiongozi kwa mahaba hata kama katoa pesa nyingi serikali imeona Arusha inastaili
Magnification ya hoja, Huoni huo upendo wewe?
 
Mkuu

Hizo namba za pesa zinazotajwa hazina uhalisia wowote maana hakuna yoyote yaliyotamalaki kama inavyodaiwa inawezekana zinapigwa kwa kichaka kwamba zimetolewa kuboreesha huduma ya maji.
Hii ni hoja mpya sasa na niya CAG,

MIMI NACHOJUA MAMA KATOA 520B HAYO MENGINE MTAFUTE CAG
 
Unakosea unapomtaja mbunge kushindwa kusolve tatizo la maji.
Unajua mbunge hakusanyi kodi au ushuru kokote, kazi yake ni kupeleka matatizo ya wananchi wake serikalini ili yatatuliwe. Na hilo tayari wamelifanya na ndio maana serikali imetoa hela. Hadi tutakapoacha kuamini kuwa mbunge anatatua kero zinazohitaji budget ya serikali ndipo tutakapoondokana na utamaduni wa kupigwa ahadi za uongo na hawa wabunge wakati wa kampeni.
Lemma katuchelewesha sana
 

Hakika mahaba ya Rais Samia kwa watu wa Kaskazini usipime, ametoa TZS 520BL za maji Arusha ikiwa ni zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka.​

" Hakuna kama Samia "​


Hakika kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan haikamatiki,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti tofauti ukanda huo hatimaye Rais Samia amelimaliza kirahisi tu na hii ndio raha ya kuwa na Rais Mzalendo kama Mama Samia Suluhu,

Bajeti nzima ya maji ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021|22 ni karibu 589BL hii ni kwa mujibu wa bajeti kuu ya Serikali, Rais Samia Suluhu kwa mahaba yake na watu wa Kaskazini kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini ameamua kufanya reallocation ya pesa ili Arusha na viunga vyake wapate kiasi hicho cha fedha na hapa nainyooshea kidole CHADEMA kwa kuwachelewesha watu wa Arusha kwa kiasi hiki na kwahakika hawapashwi kuchaguliwa tena,

Kwamsiofahamu,Mradi huu mkubwa wa kihistoria wa Mama Samia unategemewa kutoa Jumla ya Lita 200Milioni kwa siku huku mahitaji halisi ikiwa ni Lita 109Milioni tu kwa siku na hivyo kuwa na ziada ya karibu lita 91Milioni kwa siku ziada ambayo itapelekwa maeneo ya Arumeru na maeneo mengine mengi,

Wakati huohuo Mhe Rais akiwa katika mradi huo wa maji alimmwagia pongezi za dhati Mhe Juma Aweso Waziri wa Maji kwa kile alichokiita uwajibikaji wa kutiliwa mfano ndani ya baraza Lake la Mawaziri,Hongera Aweso kazi zako ni awesome kila Mtanzania atakubaliana na Mhe Rais unastahili songa mbele,


RAIS SAMIA MZALENDO WA VITENDO

Moshi tumemwomba barabara hataki, tukamwomba jiji la Moshi hakutaka, sasa sijui anataka tumwombe nini?
 
Back
Top Bottom