Magufuli yupo wapi

Magufuli yupo wapi

Status
Not open for further replies.
Balaa za Push up hizo....atakua ......Au kaona nguvu ya umma ni kubwa
 
Mimi nilisikia jana na leo alipaswa kuwa Pemba na Unguja. Lakini ajabu hajaonekana, sasa sijui naye Katoroka?
 
Hawa mods nadhani ni maccm,kuna habari nimeipata kuwa magufuli kalazwa nairobi haijakaa hata dk o imefutwa
 
Jidu ungeanza kuuliza babu duni kapotelea wapi.wiki ya tatu hii haonekani

ha ha ha acha utapeli ww..... inamaanisha hukuona nyomi ya Babu Duni jana Dodoma!!!!!!!! nasikia mwenzie alizomewa mwanza
 
mkuu hapa Mungu anazidi kuwa wa ajabu
VIVA UKAWA!!!

Tatizo alianza na mbio sana akijua ni uwanja mfupi, hakujua kuwa ni Marathon na mshindi anahitaji anza taratibu ili aweze shinda....
Alikurupuka sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom