manchoso
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 1,606
- 2,055
Ndugu zangu
kwanza niwape pole waathirika wote na wafiwa wa ugonjwa wa corona ndo mapito tuwe na imani corona itaondoka, ila itaondoka pale tu sisi binadamu tutakapokuwa wanyenyekevu mbele ya Mungu.
Hii corona ni pigo kutoka kwa Mungu kwa sababu sisi wanadamu ni washenzi tumezidi maasi na machafu tumeifanya dunia uwanja wa vita ushoga mauaji na ufedhuli mwingi, hili janga la corona ilibidi lazima lije tumemsahau sana Mungu katika matendo yetu na shetani amekuwa ni rafiki yetu na sasa shetani kama kawaida yake ametuacha na tunazidi kupotoka kwa kuendeleza mambo yasiompendeza Mungu.
Baada ya Rais Magufuli kusema tumrudie Mungu atusaidie kwa hili janga la corona watu wengi walimkejeli sana, ila kiukweli alikuwa sahihi iwe kwa lock down isiwe kwa lock down corona itaendelea na ingeendelea kututesa sana, sababu corona haijaletwa na mchina wala mmarekani wala popo isipokuwa ni adhabu kutoka kwa Mungu kwa sababu ya matendo yetu, wanasayansi waendelee kukesha maabara kutafuta dawa ila wasisahau dawa ya corona ni sisi binadamu kumrudia Mungu.
Tulipoombwa na Rais tufanye maombi watu walibeza ndo hao hao sasa corona imetamalaki wanapiga kelele wakati siku za maombi walikuwa juu ya vinena vya malaya!! mtu anafikia hadi kusema dini haina umuhimu kwa sababu haijatusaidia kuondoa corona, corona iondoke hali ya kuwa mmeasi??subirini ya Nabii Nuhu na Luti yatufike ndo mtajua hamjui.
Na nyie mnaoenda mbali zaidi na kusema Mungu hakuna, mkishikwa na haja mbona mnaenda vyooni kuchutama, mnachutama for what?????gomeni basi na kuchutama kama nyie ni vidume kweli!!! ndo nyie mmesababisha kutuletea corona, kwani kawaida ya Mungu kosa la mtu mmoja anaweza akaleta janga katika jamii nzima Kiranga aretasludovick Retired Father of all Snipers The only nusuhela na wafuasi wenu wote mnaopotosha watu ni mda wenu wa kutubu ile saa imekaribia TUKIENDELEA KUMBEZA NA KUMDHIHAKI MUNGU CORONA ITAENDELEA KUTUTAFUNA
Dawa ya corona ni kuendelea kuomba sana wote kwa umoja Mungu atatusamehe na kutuonyesha njia sahihi ya kukabiliana na haya maradhi na tena tuombe majumbani kwetu tuepuke mikusanyiko isiyo na lazima,
kwanza niwape pole waathirika wote na wafiwa wa ugonjwa wa corona ndo mapito tuwe na imani corona itaondoka, ila itaondoka pale tu sisi binadamu tutakapokuwa wanyenyekevu mbele ya Mungu.
Hii corona ni pigo kutoka kwa Mungu kwa sababu sisi wanadamu ni washenzi tumezidi maasi na machafu tumeifanya dunia uwanja wa vita ushoga mauaji na ufedhuli mwingi, hili janga la corona ilibidi lazima lije tumemsahau sana Mungu katika matendo yetu na shetani amekuwa ni rafiki yetu na sasa shetani kama kawaida yake ametuacha na tunazidi kupotoka kwa kuendeleza mambo yasiompendeza Mungu.
Baada ya Rais Magufuli kusema tumrudie Mungu atusaidie kwa hili janga la corona watu wengi walimkejeli sana, ila kiukweli alikuwa sahihi iwe kwa lock down isiwe kwa lock down corona itaendelea na ingeendelea kututesa sana, sababu corona haijaletwa na mchina wala mmarekani wala popo isipokuwa ni adhabu kutoka kwa Mungu kwa sababu ya matendo yetu, wanasayansi waendelee kukesha maabara kutafuta dawa ila wasisahau dawa ya corona ni sisi binadamu kumrudia Mungu.
Tulipoombwa na Rais tufanye maombi watu walibeza ndo hao hao sasa corona imetamalaki wanapiga kelele wakati siku za maombi walikuwa juu ya vinena vya malaya!! mtu anafikia hadi kusema dini haina umuhimu kwa sababu haijatusaidia kuondoa corona, corona iondoke hali ya kuwa mmeasi??subirini ya Nabii Nuhu na Luti yatufike ndo mtajua hamjui.
Na nyie mnaoenda mbali zaidi na kusema Mungu hakuna, mkishikwa na haja mbona mnaenda vyooni kuchutama, mnachutama for what?????gomeni basi na kuchutama kama nyie ni vidume kweli!!! ndo nyie mmesababisha kutuletea corona, kwani kawaida ya Mungu kosa la mtu mmoja anaweza akaleta janga katika jamii nzima Kiranga aretasludovick Retired Father of all Snipers The only nusuhela na wafuasi wenu wote mnaopotosha watu ni mda wenu wa kutubu ile saa imekaribia TUKIENDELEA KUMBEZA NA KUMDHIHAKI MUNGU CORONA ITAENDELEA KUTUTAFUNA
Dawa ya corona ni kuendelea kuomba sana wote kwa umoja Mungu atatusamehe na kutuonyesha njia sahihi ya kukabiliana na haya maradhi na tena tuombe majumbani kwetu tuepuke mikusanyiko isiyo na lazima,