Sanday Gayoo
Member
- Jul 16, 2015
- 18
- 4
Hakuna jipya , yale yale ya mwamba ngoma ngozi huvutia kwake .
Kuna walimu hata simu hawawezi kutumia huko vijiji hizo laptop itakuwaje??? Ok mwalimu anaye fundisha darasa la kwanza laptop kwake ya nn??
Na laptop kila mwalimu nchi nzima! Yaani nimecheka kidogo nife. Kujenga maabara walikuwa wanafukuzana na mbuzi na kuku wa masikini wawang'anye na kuuza ili wapate michango huko vijijini leo wana hela za kugawa vijijini hivyohivyo?
Waalimu hata fedha za likizo wanashindwa kuwalipa miaka yote leo wawanunulie Laptop wote?
Ama kweli sasa uchizi umeingia chama tawala na wanaropoka wakidhani watu ni mazoba.
amesema ametenga kila kijiji tanzania kupata milioni 50. Sasa utendaji ndo umeanza watch out
inaanzishwa saccos ya kijiji so wananchi wanakopa kwa mashariti nafuu na kwa wepesi ivo kuongeza mzunguko wapesa vijijin as result boost economy
Dunia ya leo kila mtu anastahili kuwa na laptop sema aina ya maisha ndio yanafanya wakose hivo vifaa.
tafuta hela na wewe utununueHamna haya nyie Chadema!
Slaa kapiga kelele weee, na juhudi zake zote mmenunuliwa na Mamvi!
Watu wa Kaskazini kwa pesa wanaweza kukuuzia hata watoto wao wa kuzaa.
Hatari sana kwa maendeleo ya Nchi.
Dunia ya leo kila mtu anastahili kuwa na laptop sema aina ya maisha ndio yanafanya wakose hivo vifaa.
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 2015-2020 , Ndugu John Joseph Pombe Magufuli ....one & only ! kubali , kataaa Hatujawa Wajinga kiasi hicho ! Wengine Muugue pole ...Na Mungu awasimamie .....Inshallah
Amesema ametenga kila kijiji Tanzania kupata milioni 50. Sasa utendaji ndo umeanza watch out
Pole Kwa kushinda vjweni mnajadili siasa wakati familia zinashinda njaa.cjaona m2 yeyote anajadili jinsi ya kupata pesa nyote ,,,,,,
a dharura
inaanzishwa saccos ya kijiji so wananchi
wanakopa kwa mashariti nafuu na kwa wepesi
ivo kuongeza mzunguko wapesa vijijin as result
boost economy
Ningekuwa magufuli ningejitoa maana atapata aibu ya mwaka
Wamarekani Na Wachina Wametabiri kuwa Magufuli atashinda.
Sasa hapo watu wa ukawa mkae tayari kupokea Kichapo kitakatifu kutoka Kwa Polisi iwapo mtapinga matokeo.
Hii nchi mali ya Watu. Hivi nyie Watz mpk leo hamjaliona Hilo?
we bado mtumwa wa fikra, ndo maana mnasema hatuna uwezo wa kuvuna gesi tuliyonaye. hata muamko tu wa kisiasa ambao hata kipofu anauona wewe unasubiri marekani na mchana akushauri? funguka kifikra.... m/kiti wenu alishakuambia "akili ya kuambiwa changanya na yako" sasa changanya hiyo ya wachina na yako basi