nidhamu za woga na hofu kama hizi ni ndoto kuleta mabadiliko
hv kampeni zimeshaanza?
"Hutajua chochote iwapo hutahoji na kudadisi"Na laptop kila mwalimu nchi nzima! Yaani nimecheka kidogo nife. Kujenga maabara walikuwa wanafukuzana na mbuzi na kuku wa masikini wawang'anye na kuuza ili wapate michango huko vijijini leo wana hela za kugawa vijijini hivyohivyo?
Waalimu hata fedha za likizo wanashindwa kuwalipa miaka yote leo wawanunulie Laptop wote?
Ama kweli sasa uchizi umeingia chama tawala na wanaropoka wakidhani watu ni mazoba.
Amesema ametenga kila kijiji Tanzania kupata milioni 50. Sasa utendaji ndo umeanza watch out
Mwingine si amesema tujiandae kuwa kama akina Mengi na Bakresa,naona wanasiasa wanazidi kutuona wananchi mazombi.