muulize mamvi alipowaahidi wagonga viroba neema
Atazitoa mfukoni mwake?
Ni jambo la busara kuwaahidi watu huduma yeyote ya kijamii kuliko fedha. Ziko wapi millioni 10 za JK?.
mods badilishen heading ni 50miln sio 10mln
U have a record sir
Idaidi ya watu kwenye kila kijiji tafadhali na hizo pesa ana kabidhiwa nani kwa malengo gani au ni kwa dharura
Walimu hawataki laptop,wanataka maisha bora.
a dharuraha ha ha ha hawa wanajuana na J.Makamba....hiyo ya milioni Hamsini ilikuwa agenda ya makamba pale miliman city.....na inaonekana wazi kijana ameuza proposal ile kwa magufuli na akijua atakula shavu la uwaziri na need yake kubwa ni Foreign affairs ili next 10 years awe candidate wa ccm....watu wamejipanga katika foleni kama wanaingia kwa daktari kuchuku madaraka.....
minimum ya kijiji kina watu 3500 hadi 5000,
MFANO rahisi tu kwa kijiji chenye watu 3500 tu kule mpunguzi dodoma ambako ni kukame kabisa ....kwa hesabu za haraka kila mwana kijiji atapata mgao wa 14285.70... kwa pesa hizi mwanakijij atafanya nini ajitoe hapo alipo?? hii mipango inaenda kuwafanya kuwa maskini zaid y hpo..pia kuwachonganisha na viongozi wao,,,na mfarakno mkubwa utatokea katika jamiii...
wajiulize zile za JK ziko wapi...hadithi tu na hela walitoa na kujirudishia.....
Atazitoa wapi hizo Pesa.
mkuu magufuli nimtendaji na hana tabia ya kuiba mali ya uma. amekuwa waziri zaid ya miaka 15 bila kuachishwa ka zi kwa kashfa yoyote
kila kitu kinaitaji pesaHata zingekuwa milion 100, shida ya watanzania sio SAMAKI bali ni zana na ujuzi wa kuvulia SAMAKI
atapambana nawezi wa mali ya umma
Makomeo ni fisadi tu kama walivyo viongozi wa serikali ya ccm
mkuu naamini binadamu si malaika hata asiwe na kosa ilakwa magufuli huwezi kumcompare na lowasa. ukweli ccm wangempitisha lowasa upinzan wangesema ni fisadi sasa amekatwa wameletewa kijana msafi bado wanalalamika. upinzani km taifa laisrael waliletewa vyakula vya pepon badowanataka vya makondeni. ok