is very theory ndugu yangu!!..vijijin wana njia zao za kukkopeshana na hata km ni riba......! pesa kijijin sio ishu, ishu kwa pesa hizo hzo walizonazo wakulima ndio wanakijiji hao hao wamelima mazao kama mpunga, mahindi na miwa..hakuna soko na pa ya kuyapeleka.....mwanakijiji wa idodi, pawaga iringa, kyela, mbaralali na kamsamba mbozi waulize kwa miaka 3 iliyopita wameuzaje mpunga wao,,,,,viongozi wakuu na watoto wao wamechukua tenda ya kuingiza mchele toka taiwain na pakistan unauzwa kilo hadi 800/= ili mkulima ashindwe kuuza mchele wake.....soko la ndani linauwawa na hawa hawa viongoz...haya mkubwa wa mawaziri anaingia katika tenda ya kuingiza sukari nchini wakati wakulima wa miwa wapo na viwanda vya sukari vipo hiv hii ni akili au matope.....kuna u-selfish wa hali ya juu katika serikali ya awamu ya NNE nafikir kuliko awamu zote......!! mwanakijiji unapeleka miliona 50 akkope kwa baishara gani kijijin zaid ya kilimo? huku soko lake halina uhakika....vifaa vya kulimia ni feki kumbuka yale majembe ya kilimo kwanza sijui mliayataje..purutela sijui... inajulikana kabisa mkuu wa mawaziri nae alishika tenda ya kuingiza vifaa vile feki ambavo avikuangalia ni ardhi gani itumike....kuna maeneo yalishindwa hata kulima na kufanya injini kuweka ktika pump za maji....
hzo milion hamsin boresheni infrastructure wanakajiji wawe ana access kufika katika kata hadi wilaya kwa barabara za kupitika au madaraji ya kuwaangunisha na maeneo muhimu....hzo pesa najua ccm imedhamiria kama mkakat hasa nilipomsikiliza makamba...ukweli ni kiin macho,,,si msaada....system imejaa selfish haiwezi.....!!
Mkulima haitaji pesa...pesa iko katika ardhi yake na mkasapoti kwa mbolea na pembejeo...na soko la uhakika hiyo ni zaidi ya saccos....hyo ni zaidi ya milion 50.....