NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,275
Uchaguzi wakati wa Kikwete ulikua hivihivi, watu wakamsema sana mwisho wa siku akapita na asilimia za kutosha.. I hope ntaona mabadiliko mwaka huu ila don't expect too much, kila mtu anajua kura atampigia nani, maneno ya nje nje haya tunaongea tu kujifurahisha... Don't get me wrong, I really hope CCM iondoke madarakani even though simkubali EL, sababu yangu ni mmoja tu, tutakua na kitu kipya finally tanzania, hiyo italeta mwamko sana kuanzia chini hadi juu, people will try to change their ways labda watanzania finally wataamka maana sasa hivi wengi wamelala na CCM ikipita coz hamna jipya wengi bado wataendelea kulala