Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

Acheni kufikiri kirahisi na kifupi namna hii....! Hebu tujiulize maswali tu machache haya;
  1. Je, Kabla CCM hawajaamua kuhusu mgombea wao wa urais, hawakufanya utafiti kwanza?
  2. Kama walifanya, waliisoma ripoti ya utafiti huo na kuuelewa?
  3. Je, Chadema nao kabla hawajampkea na kumpitisha Lowasa, hawakuufanyia maamuzi haya upembuzi yakinifu?

If all these are true, utajua kuwa CCM will keep winning, but the coalition (UKAWA) will gain....!
 
Back
Top Bottom