Hapo sawa, niliweka comment yangu baada ya kuona umemuweka kundi moja na yule wa Ivory coast.Moi alilazimisha Kenyata achaguliwe kupitia KANU na ikawa ndio mwisho wa Kanu na Uprofesa wake feki wa Siasa.
tatizo tuna nidham za woga wachina ndo watapiga kura?
Mtu safi ndiye yupi !!, MAGHUFULI KWELI AU MWINGINE ?!
Katika tafiti zote zilizopita ilionekana Lowassa anaongoza na Dr Slaa anamfuata kwa karibu. Maghufuli hata kwenye tano bora alikuwa haonekani, sasa imani ya kushinda inatoka wapi?
Baada ya Lowassa kuchukua fomu ya Ukawa Maghufuli akapotea hata kwenye media na mikutano yake huko Mtwara ilikuwa kama ya mgombea udiwani. Jeuri ya ushindi inatoka wapi?
Pamoja na kitengo kupenyeza lupia kwa Ukawa kwa lengo la kuvuruga bado Ukawa wamebaki wamoja na wanasonga mbele. Majigambo yanatoka wapi?
Sina hakika kama Maghufuri anaweza kupata kura laki moja mikoa ya Arusha na Manyara. Lakini je Lowassa hatakomba kura za kutosha Geita? Hilo linahitaji miwani kuliona?
Ccm inabomoka kila siku, wanachama wanakimbia kwa maelfu. Wanategemea goli la mkono! Goli la mkono wakati unachezwa nusu uwanja?
Hivi weye una hakiri kweri?maana yake kira unarochagia jamii folumu ni mavi mavi tuu kwanza hata erimu huna kenge weye.Kujifanya kutukana dini za watu mbururaaaaaaaaaa weyeeeeeeeeeeeee.Wamarekani Na Wachina Wametabiri kuwa Magufuli atashinda.
Sasa hapo watu wa ukawa mkae tayari kupokea Kichapo kitakatifu kutoka Kwa Polisi iwapo mtapinga matokeo.
Hii nchi mali ya Watu. Hivi nyie Watz mpk leo hamjaliona Hilo?
Wamarekani Na Wachina Wametabiri kuwa Magufuli atashinda.
Sasa hapo watu wa ukawa mkae tayari kupokea Kichapo kitakatifu kutoka Kwa Polisi iwapo mtapinga matokeo.
Hii nchi mali ya Watu. Hivi nyie Watz mpk leo hamjaliona Hilo?
Kwa mwaka huu sidhani...CCM wenyewe wanajua kuwa lazima wapigwe but wanajikaza kisabuni tu kuondoa aibu!
Kwa mujibu wa chadema Lowasa ni fisadi papa.
Kwa mujibu wako ni fisadi gani, mwaka huu tunamtaka fisadi nae atawale Tanzania ni nchi yetu sote ambao si mafisadi wametawala tangu uhuru na hakuna la maana sasa tuwape na mafisadi nao wajaribu
Katika tafiti zote zilizopita ilionekana Lowassa anaongoza na Dr Slaa anamfuata kwa karibu. Maghufuli hata kwenye tano bora alikuwa haonekani, sasa imani ya kushinda inatoka wapi?
Baada ya Lowassa kuchukua fomu ya Ukawa Maghufuli akapotea hata kwenye media na mikutano yake huko Mtwara ilikuwa kama ya mgombea udiwani. Jeuri ya ushindi inatoka wapi?
Pamoja na kitengo kupenyeza lupia kwa Ukawa kwa lengo la kuvuruga bado Ukawa wamebaki wamoja na wanasonga mbele. Majigambo yanatoka wapi?
Sina hakika kama Maghufuri anaweza kupata kura laki moja mikoa ya Arusha na Manyara. Lakini je Lowassa hatakomba kura za kutosha Geita? Hilo linahitaji miwani kuliona?
Ccm inabomoka kila siku, wanachama wanakimbia kwa maelfu. Wanategemea goli la mkono! Goli la mkono wakati unachezwa nusu uwanja?
teh teh teh
nimecheka sana
Sio suala.la Kudhani.
Atakaekataa matokeoa yatakayo tangazwa na NEC lzm ale kichapo.
Na hayo matokeo Hayatotokana na Kura zenu.
Hilo linajulikana.
Time will tell.