Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

Amesema ametenga kila kijiji Tanzania kupata milioni 50. Sasa utendaji ndo umeanza watch out

hizo milioni 50 kila kijiji ni kwaajili ya nini? au atawagawia wananchi kila mmoja elfu kumi kumi kama kijiji kina watu 5000? , mbona mipango ya hawa CCM haieleweki?

Turudi kwenye mipango ya CCM kama chama, Kilimo kwanza kipo wapi? Mabilioni ya JK yako wapi? maabara ziko wapi? MATOKEO MAKUBWA SASA! MKUKUTA!! MKURABITA!!! yaani maneno lukuki

matokeo yako wapi? shilingi inashuka, umeme shida, shule watoto hawana vyoo hawana madawati, hospitali shida.. matatizo kila kona..

CCM imefilisika kifikra.
 
Ccm sasa mnazihirisha uzezeta wenu mchana kweupe, hivyo vijiji nani kasema wanahitaji 50 million hili waishi.....huyu makomeo ndio PhD holder kweli
 
hizo milioni 50 kila kijiji ni kwaajili ya nini? au atawagawia wananchi kila mmoja elfu kumi kumi kama kijiji kina watu 5000? , mbona mipango ya hawa CCM haieleweki?

Turudi kwenye mipango ya CCM kama chama, Kilimo kwanza kipo wapi? Mabilioni ya JK yako wapi? maabara ziko wapi? MATOKEO MAKUBWA SASA! MKUKUTA!! MKURABITA!!! yaani maneno lukuki

matokeo yako wapi? shilingi inashuka, umeme shida, shule watoto hawana vyoo hawana madawati, hospitali shida.. matatizo kila kona..

CCM imefilisika kifikra.
a dharura
inaanzishwa saccos ya kijiji so wananchi
wanakopa kwa mashariti nafuu na kwa wepesi
ivo kuongeza mzunguko wapesa vijijin as result
boost economy
 
Duh!!!!!
Nani alimwambia kumwaga hela kunaleta maendeleo?
Kiuchumi, ukiongeza hela kwenye mzunguko kuna madhara hasi kuliko magufuli anavyo dhani,kwani bei zitapanda na thamani ya fedha inapungua.
Afterall,mil 50 kwa kijiji mbona ni fedha kidogo sana??????

Huo ni mwendelezo wa ukurupukaji wa viongozi wa ccm baada ya kuanza kuonja machungu ya ukawa
 
Hii ni rushwa kwa wapiga kura. Hizo hela zilikuwa wapi miaka yote na zitatumika kwa kazi gani? He atatoa taslimu au kwa installment na kwa muda gani. Kama kuna hela nyingi hivyo mbona waalimu bado wanadai hela zao, mbona watu wengi waliobomolewa kupisha miundombinu mbalimbali hawajalipwa, mbona wanatuongezea Tshs 100 kwa kila lita ya petrol kugharamia REA. Kama hizo hela zipo zingeelekezwa kwenye miradi yenye tija kuliko kuwahadaa watanzania kupata kura. Watanzania tusikubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia kama kweli kuna hela na zitolewe kabla ya uchaguzi na zitolewe cash na siyo ahadi wala kusainishwa makaratasi.
 
wameshindwa kutoa fedha field za wanafunzi wa vyuo vikuu mpaka leo kweli ccm hoi juu ya hoi!
 
Huo ni mwendelezo wa ukurupukaji wa viongozi wa ccm baada ya kuanza kuonja machungu ya ukawa

mkuu km umefatilia documentary ya magufuli ameshikanafasi chache za chama about 15 years amekua mtendaji na kaxi zake zinajieleza actions speak louder than words.
 
Hii ni rushwa kwa wapiga kura. Hizo hela zilikuwa wapi miaka yote na zitatumika kwa kazi gani? He atatoa taslimu au kwa installment na kwa muda gani. Kama kuna hela nyingi hivyo mbona waalimu bado wanadai hela zao, mbona watu wengi waliobomolewa kupisha miundombinu mbalimbali hawajalipwa, mbona wanatuongezea Tshs 100 kwa kila lita ya petrol kugharamia REA. Kama hizo hela zipo zingeelekezwa kwenye miradi yenye tija kuliko kuwahadaa watanzania kupata kura. Watanzania tusikubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia kama kweli kuna hela na zitolewe kabla ya uchaguzi na zitolewe cash na siyo ahadi wala kusainishwa makaratasi.[/QUOT
inaanzishwa saccos ya kijiji so wananchi
wanakopa kwa mashariti nafuu na kwa wepesi
ivo kuongeza mzunguko wapesa vijijin as result
boost economy
 
Huwez kumpa mwanakiji pesa..unatakiwa umwezeshe kupata .....pesa ...wawapungzie kodi ..za bidhaa...waboreshe ...shule zao na bei za mazao......hela watapata...
 
Kuna walimu hata simu hawawezi kutumia huko vijiji hizo laptop itakuwaje??? Ok mwalimu anaye fundisha darasa la kwanza laptop kwake ya nn??
 
Dah..ulivyoshupalia mods abadilishe 10m kuwa 50m..hivi hujielewi kuwa unajiaibisha?..kijiji kimoja kina wakaazi wangapi na hizo pesa zitagawanywa au itakuwaje? Walikuwa wapi miaka yote..ni hongo au...kama sera zake ndo hizo amejua ashashindwa mapema sana..wananchi wa sasa sio wale wa miaka ya nyuma!

mkuu itaanzishwa saccos za mashariti nafuu hivo kuongezamzunguko wa bei vijijini
 
Kuna walimu hata simu hawawezi kutumia huko vijiji hizo laptop itakuwaje??? Ok mwalimu anaye fundisha darasa la kwanza laptop kwake ya nn??

acha udhalilishaji. watoto wa form one wanazuiwa kutumia cm ww unawadhsrau walimu wao. huenda ht nyumbn huna nidhamu kwa wazee
 
Na laptop kila mwalimu nchi nzima! Yaani nimecheka kidogo nife. Kujenga maabara walikuwa wanafukuzana na mbuzi na kuku wa masikini wawang'anye na kuuza ili wapate michango huko vijijini leo wana hela za kugawa vijijini hivyohivyo?
Waalimu hata fedha za likizo wanashindwa kuwalipa miaka yote leo wawanunulie Laptop wote?
Ama kweli sasa uchizi umeingia chama tawala na wanaropoka wakidhani watu ni mazoba.

Wakiwa na nia wanaweza kwani zipo za kila bei, hata laki 2,3,4
 
mkuu km umefatilia documentary ya magufuli ameshikanafasi chache za chama about 15 years amekua mtendaji na kaxi zake zinajieleza actions speak louder than words.

Hapa wewe jukwaani unajichosha hakuna mtu wa kukupa support kwa kumnadi makomeo,nakushauri mawazo yako umsaidie nape na kinana waangalie jinsi ya kuandaa kampeini ya kuiwezesha ccm ipate angalau wabunge watakao iwezesha kuongoza kambi rasmi ya upinzani bungeni maana mnashindana na kina tlp,udp,adc,act
 
KILA KIJIJI MIL 50,
KAMA YALE MAMILION YA JK!
HIVI NI YUPI ALIPATA HATA NAFASI YA KUKOPA?
........Tulisikia maneno tu! ..hata zilipopitia WATANZANIA HAWAFAHAMU!!!

......HUWEZI DANGANYA MTU KWA WAKATI WOTE.....
***TUMEAMKA KWELI KWELI**
 
Hatutaki pesa tunataka namna ya kuipata hiyo pesa.....huu ndiyo Ujinga wa CCM na viongozi wake akili zao zimeishia hapa hapa...
 
Back
Top Bottom