Banaa,,, usijidanganye kuwa Ukawa ya Lowasa itapata ushindi,
Uwe muungwana tu siku matokeo yanatangazwa,, usianzishe fujo, kwasababu ukianzisha fujo UTAPIGWA TU!!
Shida yenu ni kuamini goli la mkono, hivi mnajua Lowassa ana watu wangapi kwenye system?