Magufuli sasa kufuta ibara ya 46 (3) ya katiba

Hapo Atakayekutwa Msafi Ni Nyerere Tu Ingawa Hayupo.WengineWote Wajibu Mashtaka,ikiwemo Kutoa Matusi Kutuita Wapumbavu Na Malofa...
 
Inawezekana akiamua au akiwa na utashi wa hivyo, ila kwa kuwa wale kawanyima nyongeza ya magari hiyo hoja haitapata suport maana wezi wengi wamaerudi bungeni, sasa hao walishazoea kuiba
 
Acha porojo,
Ila binafsi siungi mkono kwani tunaweza kutengeneza mfumo wa marais kung'ang'ania madaraka kutokana na hofu ya kushtakiwa
 
kama hilo pendekezo tulilopendekeza sisi kina gogo la shamba,tutashukuru sana ingawaje tulishamshauri G.Lema agenda yake ya kwanza mara tu atakapoapishwa bungeni
 
Shikamooor jpm kweli natambua nguvu yako katika kuwapigania wanyoge mungu akubariki utaweza wafikishwe Mara moja
 
Acha porojo.
Siunge mkono upuuzi kama huu kwani itakuja kusababisha Rais wa nchi kung'ang'ania madaraka kwa hofu ya kushtakiwa na kusababisha kutokea mapinduzi kama nchi za wenzetu
 
Chanzo cha ndani Ikulu kimetoa habari kwamba mpaka sasa kazi zinazofanywa na Magufuli si mageni hata kidogo.

Kws mujibu wa chanzo hiki ni kwamba mafile yaliyoko mezani yalipelekwa siku nyingi sana na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dr. Hoseah ila Serikali iliyokuwa ilipuuzia na kuyaweka kando.

Hivyo kwa mujibu wa chanzo hiki Dr. Hoseah anasemekana kufanya kazi zake nyingi kwa ustadi mkubwa ila amekuwa akipuuzwa.

Kwa mujibu wa chanzo hiki Dr. John Joseph Magufuli ameamua sasa muda si mrefu kukutana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano hasa akitaka Bunge lake lijalo lishughulike mapema sana kurekebisha Ibara ya 46(3) ambayo imeweka kinga dhidi ya kutoshtakiwa Rais aliyemaliza muda wake kwa kosa lolote.

Chanzo hicho kinasema Magufuli anataka Ibara hiyo ifutwe na kimsingi yeye anataka mtu aliwahi kuwa Rais na kulisababishia Taifa hasara aburuzwe Mahakamani........

Sio rahisi kuuamini huu uongo,
Kama huna uhakika unatuletea tetesi ktkt maauzi mazito kama haya ukiitwa mchonganishi hutakuwa umeonewa.
 
"Nawahaidi sitawaangusha wazee wangu. Nitahakikisha mnaishi maisha ya mazuri bila kubugudhiwa na mtu, mkifurahia pensheni zenu." - JPM
 
Back
Top Bottom