Sakata la DP World linatosha kabisa kutupeleka kwanye Ibara ya 46 ya Katiba yetu

Mtanke

JF-Expert Member
Nov 19, 2011
715
1,774
Kwanza niwakumbushe tu kuwa katiba yetu inasema

Na.34 ib.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, kiti cha
Rais kitakuwa ki wazi, na uchaguzi wa Rais utafanyika au nafasi
hiyo itajazwa vinginevyo kwa mujibu wa Katiba hii, kadri
itakavyokuwa, kila mara litokeapo lolote kati ya mambo
yafuatayo:-
(a) baada ya Bunge kuvunjwa;
(b) baada ya Rais kujiuzulu bila ya kulivunja Bunge
kwanza:
(c) baada ya Rais kupoteza sifa za kushika nafasi
madaraka ya kuchaguliwa;
(d) baada ya Rais kushtakiwa Bungeni kwa mujibu wa
Katiba hii, na kuondolewa katika madaraka;
(e) baada ya kuthibitishwa kwa mujibu wa masharti ya
ibara ya 37 ya Katiba hii kwamba Rais hawezi
kumudu kazi na shughuli zake;
(f) baada ya Rais kufariki.
(3) Kiti cha Rais hakitahesabiwa kuwa kiwazi kwa sababu tu
ya Bunge kupitisha hoja ya kutokuwa na imani kwa Waziri Mkuu

Sasa Ibara 46 A na B inalipa Bunge wajibu kwa niaba ya Wananchi. Mpaka sasa sababu ipo na uwezo upo hebu na nia iwepo.
 
Kwanza niwakumbushe tu kuwa katiba yetu inasema

Na.34 ib.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, kiti cha
Rais kitakuwa ki wazi, na uchaguzi wa Rais utafanyika au nafasi
hiyo itajazwa vinginevyo kwa mujibu wa Katiba hii, kadri
itakavyokuwa, kila mara litokeapo lolote kati ya mambo
yafuatayo:-
(a) baada ya Bunge kuvunjwa;
(b) baada ya Rais kujiuzulu bila ya kulivunja Bunge
kwanza:
(c) baada ya Rais kupoteza sifa za kushika nafasi
madaraka ya kuchaguliwa;
(d) baada ya Rais kushtakiwa Bungeni kwa mujibu wa
Katiba hii, na kuondolewa katika madaraka;
(e) baada ya kuthibitishwa kwa mujibu wa masharti ya
ibara ya 37 ya Katiba hii kwamba Rais hawezi
kumudu kazi na shughuli zake;
(f) baada ya Rais kufariki.
(3) Kiti cha Rais hakitahesabiwa kuwa kiwazi kwa sababu tu
ya Bunge kupitisha hoja ya kutokuwa na imani kwa Waziri Mkuu

Sasa Ibara 46 A na B inalipa Bunge wajibu kwa niaba ya Wananchi. Mpaka sasa sababu ipo na uwezo upo hebu na nia iwepo.
Acha bangi, bangi ni mbaya.
 
Kwanza niwakumbushe tu kuwa katiba yetu inasema

Na.34 ib.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, kiti cha
Rais kitakuwa ki wazi, na uchaguzi wa Rais utafanyika au nafasi
hiyo itajazwa vinginevyo kwa mujibu wa Katiba hii, kadri
itakavyokuwa, kila mara litokeapo lolote kati ya mambo
yafuatayo:-
(a) baada ya Bunge kuvunjwa;
(b) baada ya Rais kujiuzulu bila ya kulivunja Bunge
kwanza:
(c) baada ya Rais kupoteza sifa za kushika nafasi
madaraka ya kuchaguliwa;
(d) baada ya Rais kushtakiwa Bungeni kwa mujibu wa
Katiba hii, na kuondolewa katika madaraka;
(e) baada ya kuthibitishwa kwa mujibu wa masharti ya
ibara ya 37 ya Katiba hii kwamba Rais hawezi
kumudu kazi na shughuli zake;
(f) baada ya Rais kufariki.
(3) Kiti cha Rais hakitahesabiwa kuwa kiwazi kwa sababu tu
ya Bunge kupitisha hoja ya kutokuwa na imani kwa Waziri Mkuu

Sasa Ibara 46 A na B inalipa Bunge wajibu kwa niaba ya Wananchi. Mpaka sasa sababu ipo na uwezo upo hebu na nia iwepo.
Nani wa kumshitaki Rais bungeni?

Twende na njia ya kesi ya kikatiba.

Kwamba, wamekitumia kitabu kuapa Kisha wanakiuka kiapo.

Hapo panatosha.
 
Kwanza niwakumbushe tu kuwa katiba yetu inasema

Na.34 ib.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, kiti cha
Rais kitakuwa ki wazi, na uchaguzi wa Rais utafanyika au nafasi
hiyo itajazwa vinginevyo kwa mujibu wa Katiba hii, kadri
itakavyokuwa, kila mara litokeapo lolote kati ya mambo
yafuatayo:-
(a) baada ya Bunge kuvunjwa;
(b) baada ya Rais kujiuzulu bila ya kulivunja Bunge
kwanza:
(c) baada ya Rais kupoteza sifa za kushika nafasi
madaraka ya kuchaguliwa;
(d) baada ya Rais kushtakiwa Bungeni kwa mujibu wa
Katiba hii, na kuondolewa katika madaraka;
(e) baada ya kuthibitishwa kwa mujibu wa masharti ya
ibara ya 37 ya Katiba hii kwamba Rais hawezi
kumudu kazi na shughuli zake;
(f) baada ya Rais kufariki.
(3) Kiti cha Rais hakitahesabiwa kuwa kiwazi kwa sababu tu
ya Bunge kupitisha hoja ya kutokuwa na imani kwa Waziri Mkuu

Sasa Ibara 46 A na B inalipa Bunge wajibu kwa niaba ya Wananchi. Mpaka sasa sababu ipo na uwezo upo hebu na nia iwepo.
Kitu Cha Arusha Rais aliwaasa muache 🤣🤣🤣
 
Kitu Cha Arusha Rais aliwaasa muache 🤣🤣🤣
We mkxnd hizo akili nyeusi omba Mungu akufanyie reformation..akili yako yako inaona usawa wa miguu yako..kuna watu wanauwezo wa kuona hatima ya taifa hili kwa miaka 2000..nyie watu wenye akili ndogo the mkapewa madaraka ndio chanzo kikubwa cha umaskini ndani ya nchi hii.
 
We mkxnd hizo akili nyeusi omba Mungu akufanyie reformation..akili yako yako inaona usawa wa miguu yako..kuna watu wanauwezo wa kuona hatima ya taifa hili kwa miaka 2000..nyie watu wenye akili ndogo the mkapewa madaraka ndio chanzo kikubwa cha umaskini ndani ya nchi hii.
Tafuta pesa kula vizuri acha bangi 😁😁😁
 
Sasa kama huna Mali hizo unaitwa akili zinakusaidia nini zaidi ya kwenda chooni? 😁😁

Tulieni kama mnanyolewa Samia awafunde kazi.
Unazungumzia mali gani?ni hizi pesa za kawaida na mali tunazo miliki bila kuuza bandari au..we na mama yako mpaka muuze bandari ndio mpate pesa..hizo ni mali za watanzania tafute mali kwa jasho lenu kama watu wengine..kuuza bandari haitaji akili kubwa kufanya hivyo hata chizi anaweza kufanya hivyo,hiyo ni ishara ya low IQ,umeshindwa kusimamia na rasilimali za nchi kwahiyo kuuzia waarabu ndio akili kubwa idiot..time will tell.
 
Kwanza niwakumbushe tu kuwa katiba yetu inasema

Na.34 ib.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, kiti cha
Rais kitakuwa ki wazi, na uchaguzi wa Rais utafanyika au nafasi
hiyo itajazwa vinginevyo kwa mujibu wa Katiba hii, kadri
itakavyokuwa, kila mara litokeapo lolote kati ya mambo
yafuatayo:-
(a) baada ya Bunge kuvunjwa;
(b) baada ya Rais kujiuzulu bila ya kulivunja Bunge
kwanza:
(c) baada ya Rais kupoteza sifa za kushika nafasi
madaraka ya kuchaguliwa;
(d) baada ya Rais kushtakiwa Bungeni kwa mujibu wa
Katiba hii, na kuondolewa katika madaraka;
(e) baada ya kuthibitishwa kwa mujibu wa masharti ya
ibara ya 37 ya Katiba hii kwamba Rais hawezi
kumudu kazi na shughuli zake;
(f) baada ya Rais kufariki.
(3) Kiti cha Rais hakitahesabiwa kuwa kiwazi kwa sababu tu
ya Bunge kupitisha hoja ya kutokuwa na imani kwa Waziri Mkuu

Sasa Ibara 46 A na B inalipa Bunge wajibu kwa niaba ya Wananchi. Mpaka sasa sababu ipo na uwezo upo hebu na nia iwepo.
Kinachokosekana ni bunge.
 
Unazungumzia mali gani?ni hizi pesa za kawaida na mali tunazo miliki bila kuuza bandari au..we na mama yako mpaka muuze bandari ndio mpate pesa..hizo ni mali za watanzania tafute mali kwa jasho lenu kama watu wengine..kuuza bandari haitaji akili kubwa kufanya hivyo hata chizi anaweza kufanya hivyo,hiyo ni ishara ya low IQ,umeshindwa kusimamia na rasilimali za nchi kwahiyo kuuzia waarabu ndio akili kubwa idiot..time will tell.
Tulia dozi ikuingie
 
Back
Top Bottom