FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,192
Haàhaaaaa sio chuki ya uislamu tena maana ww ni iislamu na ccm tu kichwani mwako.pole so unataka kutuaminisha kuwa alichosema magufuli ni sahihi wala hakukosea? Duuh kweli kichwa kimeishiwa ubongo.
Sina haja ya kukuaminisha, nnakupa darsa. Nnauhakika hata ulikuwa hujui kuwa Saddam alishaiteka Kuwait na kuibadilisha jina akaiita "kadhima" na kuitawala.