mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,150
Pia ameishasema yeye sio mwanasiasa ni mtendaji
Hiyo ni disqualification moja kubwa sana tayari. rais lazima pia awe mwanansiasa! Utaongozaje nchi kama wewe sio mwanasiasa? Hii ina maana atakuwa anaendeshwa tu na wale wanasiasa, si ndio? Tunataka rais ambaye ni mwanasiasa na ni mtendaji pia. Hizi sifa anazo Lowasa? Kikwete alikuwa mwanansiasa sio mtendaji. Lowasa ni mwanasiasa na ni mtendaji ndio maana kwa muda mfupi aliokuwa waziri mkuu alimfunika kabisa kikwete, na hii ndio ilikuwa chanzo cha kikwete kumchukia.