Kiukweli ni zamu ya wapinzani wa Tanzania kuchukua nchi, Lowasa na Magufuli hawaendani. Magufuli ni mtendaji na sio kiongozi na Lowasa ni kiongozi na mtendaji. Any creaTIVITY ALIYOITOA MAGUFULI KWENYE KAZI YAKE UTAKUTA ZIRO HE IS AFTER QUANTITY AND NOT QUALITY. Lowasa ni creative na anapendwa.
![]()
Hiki ndicho alichosema Dk.Magufuli baada ya Lowassa kutangaza rasmi kuihama CCM,Asema CCM haitatikisika na itashinda kwa mshindo mkuu zaidi ya 2005,amtakia maisha mema ila kasema sio saizi yake atampwelepweta.
Yule mgonjwa ndo anafaa?
Huyu mzee wenu kuku za kizungu atapata shida sana kama hamjui magufuli ataisoma namba.Bulldozer limezama kwenye tope
kiukweli ni zamu ya wapinzani wa tanzania kuchukua nchi, lowasa na magufuli hawaendani. Magufuli ni mtendaji na sio kiongozi na lowasa ni kiongozi na mtendaji. Any creativity aliyoitoa magufuli kwenye kazi yake utakuta ziro he is after quantity and not quality. Lowasa ni creative na anapendwa.
Hata mimi ningekua cc ya CCM , nisingempitisha Lowassa.Inaweza kuwa ni mapenzi tu na Magufuli lakini ukitaka kujua Tabia za mtu angalia anaoambatana nao.
Lowasa alicreate nini na ukiongozi wapi ni upi?
Kuukumbatia umaskini ni ugonjwa wa akili, natamani kuwa na marafiki kama Rostam, Mengi, Bakhresa and likes.
Kwa taarifa yako Magufuli anatamani kujitoa kwenye kinyang'anyiro akijua fika kuwa ushindi kwa UKAWA ni hakika 100%.
Magufuli anajua ni aheri asingekuwa mgombea urais ili akagombee ubunge kwao, lakini sasa hatima yake kisiasa ni Oktoba 25. Baada ya hapo siasa ataisikia kwenye Radio kijijini kwao.
Masikini Magufuli yumo ndani ya CCM ambapo wengine hata fomu tu walishikishwa kama vile kwa mtutu wa bunduki, ''kachukue fomu!'' Magufuli hana uhuru wa kukiri yaliyo moyoni mwake kuwa endapo Lowassa atagombea kupitia UKAWA basi shamra shamra za Dodoma ni sawa na furaha ya kuokota pesa kwenye ndoto.
Narudia tena, ni hivi!!! Magufuli anajua kwamba;
ENDAPO EDWARD NGOYAI LOWASSA ATAPITISHWA NA UKAWA KUGOMBEA URAIS NA TUME YA UCHAGUZI ISIWEKE MIZENGWE BASI SHAMRA SHAMRA ZA CCM DODOMA BAADA YA KUPATA MGOMBEA WAO HUYO TINGA TINGA NI SAWA NA SHANGWE NA FURAHA UNAZOPATA UNAPOOTA NDOTO UNAOKOTA BULUNGUTU LA MANOTI,
NGOJA UAMKE SASA! utatamani kulala moja kwa zote.
CCM endeleeni kuota, mtaamka tu Oktoba!