Magufuli: Lowassa siyo saizi yangu

Magufuli: Lowassa siyo saizi yangu

kweli sio saizi yake lowasa bora hata kidogo mbatia kwemba tukiweka midahalo kutasikiliza hoja za maana,

CCM kwenye mdahalo nani kakwambia?! waje wavuliwe Nape, sooorry nepi!?!! teh teh!!
 
Lowassa amejiandaa kuwa rais kwa miaka 20 yeye amechaguliwa kama ajali.
 
Hata mimi ningekua cc ya CCM , nisingempitisha Lowassa.Inaweza kuwa ni mapenzi tu na Magufuli lakini ukitaka kujua Tabia za mtu angalia anaoambatana nao.
 
  • Thanks
Reactions: cpt
Citizen-cartoon-1307151.jpg


Hiki ndicho alichosema Dk.Magufuli baada ya Lowassa kutangaza rasmi kuihama CCM,Asema CCM haitatikisika na itashinda kwa mshindo mkuu zaidi ya 2005,amtakia maisha mema ila kasema sio saizi yake atampwelepweta.


Kwanini asisema itashinda kama mwaka 2010? Poor CCM poor Magufuli.
 
Kweli lowassa si saizi yake maana yeye bado mchanga sana kwenye siasa za bongo na wala hana ubavu wa kuovertake zaidi yakupelekeshwa tu na kina nape
 
Magufuli, shut up and keep quite...!!!!

Bila Lowassa wala asingepitishwa kuwania urais CCM, kweli this guy is too low, hv alifikiria JK alikuwa anamtaka yeye..????

Omg...this is really bulldozer, hata hajui kitu... nilifikiri angemshukuru Lowassa, sbb bila wafuasi wa Lowassa kuhamishia hasira za Membe kwa Magufuli, this bulldozer asingepita hata kwa dawa...

Nilijua tu litaropoka...kweli nyani ni nyani...

Nyani ni yule anakuwa kwenye mti mmoja akiona bunduki tu anarukia kwenye mti mwingne na we unaanza kuhisi anapenda ule mti kumbe Yuki after maslahi yake mwenyewe.


UKAWA baada ya mda itaitwa UKIWA
 
Hilo ndo tingatinga aisee..safari ya matumaini itazimika rasmi october 25...
Chadema hangaikeni na hiko choo...mna miezi miwili ya kukitakatisha
 

Attachments

  • 1438176134907.jpg
    1438176134907.jpg
    6.5 KB · Views: 474
mwenzio kiarusi kilimpanda jana wakati anasoma kisa wazee wa pesa kwanza wamemuingiza choo cha kike na tamaa zake za madaraka,anajua kitakahojiri kwenye midahalo,

Siku hizi ccm wanaruhusiwa kushiriki midahalo?
 
CCM macho yatachomoka.tulieni.waachieni CHADEMA wapange mipango ya kuwanyoa bila maji.saa ya ukombozi imetimia.
 
Hata mimi ningekua cc ya CCM , nisingempitisha Lowassa.Inaweza kuwa ni mapenzi tu na Magufuli lakini ukitaka kujua Tabia za mtu angalia anaoambatana nao.

Kuukumbatia umaskini ni ugonjwa wa akili, natamani kuwa na marafiki kama Rostam, Mengi, Bakhresa and likes.
 
Back
Top Bottom