Magufuli: Lowassa siyo saizi yangu

Magufuli: Lowassa siyo saizi yangu

Huyu mzee wenu kuku za kizungu atapata shida sana kama hamjui magufuli ataisoma namba.

Magufuli mchache sana Sanaa zake za kujifanya anajua idadi ya samaka baharini na ziwani safari hii atachemka mbaya
 
Citizen-cartoon-1307151.jpg


Hiki ndicho alichosema Dk.Magufuli baada ya Lowassa kutangaza rasmi kuihama CCM,Asema CCM haitatikisika na itashinda kwa mshindo mkuu zaidi ya 2005,amtakia maisha mema ila kasema sio saizi yake atampwelepweta.


Lowassa ni tembo, Magufuli ni mende...... Walahi nawambia Magufuli akipata asilimia 45 nahama nchi....
 
Mapo




A



Dokta alcohol awe Moore ili aje kula neema za ubunge wa kiteuliwa na rais ili aweze kurudi bungeni kama si wizarani
 
fanyeni tambo humu ila mbakishe maneno kwani watanzania ni wengi sana na hao wanaoenda kuandikishwa wengine wametangulia dkk 3 mbele.
 
Tuache unafiki lowassa na magufuli ni vitu viwili tofauti kwenye siasa za nacho hii!!!
 
Kwa taarifa yako Magufuli anatamani kujitoa kwenye kinyang'anyiro akijua fika kuwa ushindi kwa UKAWA ni hakika 100%.

Magufuli anajua ni aheri asingekuwa mgombea urais ili akagombee ubunge kwao, lakini sasa hatima yake kisiasa ni Oktoba 25. Baada ya hapo siasa ataisikia kwenye Radio kijijini kwao.

Masikini Magufuli yumo ndani ya CCM ambapo wengine hata fomu tu walishikishwa kama vile kwa mtutu wa bunduki, ''kachukue fomu!'' Magufuli hana uhuru wa kukiri yaliyo moyoni mwake kuwa endapo Lowassa atagombea kupitia UKAWA basi shamra shamra za Dodoma ni sawa na furaha ya kuokota pesa kwenye ndoto.

Narudia tena, ni hivi!!! Magufuli anajua kwamba;

ENDAPO EDWARD NGOYAI LOWASSA ATAPITISHWA NA UKAWA KUGOMBEA URAIS NA TUME YA UCHAGUZI ISIWEKE MIZENGWE BASI SHAMRA SHAMRA ZA CCM DODOMA BAADA YA KUPATA MGOMBEA WAO HUYO TINGA TINGA NI SAWA NA SHANGWE NA FURAHA UNAZOPATA UNAPOOTA NDOTO UNAOKOTA BULUNGUTU LA MANOTI,

NGOJA UAMKE SASA! utatamani kulala moja kwa zote.

CCM endeleeni kuota, mtaamka tu Oktoba!


Brilliant...safiiiiiiii...✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌👏👏👏👏👏

Lowassa + UKAWA ni mpango wa Mungu.... sasa naona huu ukweli...daaaaahh
 
andika basi kinacho eleweka tukuelewe...ndio matatizo ya kukimbia shule haya
 
Ukawa kila wakilala na kuamka wanaiota ikulu, kitu ambacho hakiwezi tokea maishani mwao
 
Haahaahaah ataungana na cowboy mwenzake Raila Odinga kuusikia Urais kwenye redio tu....
 
Hakuna cha utingatinga wala bulldozer, huyo Magufuli hajawahi kuwa kiongozi ndani ya ccm ngazi ya kata, tarafa, wilaya, mkoa wala taifa.

Magufuli hawezi
 
Hao wote ni saizi yetu sie wapiga kura, wao watulie tu kama wananyolewa, kazi watuachie sie.
 
Back
Top Bottom