Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,190
- 29,937
Kwa sasa, CCM inapitia wakati mgumu kiuongozi, pengine kuliko wakati wowote ule wa uhai wake.
CCM ilijigeuza kutoka chama cha ukombozi na kuwa chama cha kuleta maendeleo na ustawi kwa wananchi wa Tanzania katka nyanja zote.
CCM ni chama kinachoongozwa na watu, watu ambao kila mmoja ana mawazo yake, matamanio yake na ndoto zake.
CCM imetoka mbali kiuongozi, toka maono ya Mwalimu, liberalism ya Mwinyi, practicality ya Mkapa na Kikwete, na uthubutu wa Magufuli.
Sasa tunaye mama Samia.
Ni kipindi hiki cha mama, kisiasa kimekuwa kigumu, ingawaje kiuchumi hali si mbaya sana.
Bahati mbaya kuna siasa za makundi na ubinafsi katika kushika uongozi wa juu wa CCM, siasa zilizo asisiwa kipindi cha Kikwete.
Athari zake zile hazikuwa nzuri, lakini athari zake zipo hadi leo.
Kwa hakika katika Mkutano Mkubwa wa CCM, January 2025, alichosema Kikwete, Mwenyekiti mstaafu wa CCM, kiliwazindua watu wengi.
Bila kufuata katiba ya chama, Kikwete alisema jina la mgombea wa nafasi ya urais 2025 ni moja, na ni mama Samia.
Kikwete alitakiwa kuwa very tactful na tamko lake, wangi walionekana wanashangilia, lakini kama siasa za kiTanzania zilivyo kuna waliokereka.
Kuna wanaodiriki kusema Kikwete anaitazama 2030, kufagili nafasi ya mwanaye Ridhiwani kushika nafasi za juu Kitaifa.
Matatizo ya tamko la Kikwete ndio sasa tunaanza kuyaona.
Umoja wa wana CCM umetetreka sana.
Siasa za vikundi zimeshamiri.
Twasikia mitandaoni ati kuna kundi la Bashe.
Jamani nani kaifikisha CCM hapo tulipo?
Mambo si shwari, pole CCM yangu.
CCM ilijigeuza kutoka chama cha ukombozi na kuwa chama cha kuleta maendeleo na ustawi kwa wananchi wa Tanzania katka nyanja zote.
CCM ni chama kinachoongozwa na watu, watu ambao kila mmoja ana mawazo yake, matamanio yake na ndoto zake.
CCM imetoka mbali kiuongozi, toka maono ya Mwalimu, liberalism ya Mwinyi, practicality ya Mkapa na Kikwete, na uthubutu wa Magufuli.
Sasa tunaye mama Samia.
Ni kipindi hiki cha mama, kisiasa kimekuwa kigumu, ingawaje kiuchumi hali si mbaya sana.
Bahati mbaya kuna siasa za makundi na ubinafsi katika kushika uongozi wa juu wa CCM, siasa zilizo asisiwa kipindi cha Kikwete.
Athari zake zile hazikuwa nzuri, lakini athari zake zipo hadi leo.
Kwa hakika katika Mkutano Mkubwa wa CCM, January 2025, alichosema Kikwete, Mwenyekiti mstaafu wa CCM, kiliwazindua watu wengi.
Bila kufuata katiba ya chama, Kikwete alisema jina la mgombea wa nafasi ya urais 2025 ni moja, na ni mama Samia.
Kikwete alitakiwa kuwa very tactful na tamko lake, wangi walionekana wanashangilia, lakini kama siasa za kiTanzania zilivyo kuna waliokereka.
Kuna wanaodiriki kusema Kikwete anaitazama 2030, kufagili nafasi ya mwanaye Ridhiwani kushika nafasi za juu Kitaifa.
Matatizo ya tamko la Kikwete ndio sasa tunaanza kuyaona.
Umoja wa wana CCM umetetreka sana.
Siasa za vikundi zimeshamiri.
Twasikia mitandaoni ati kuna kundi la Bashe.
Jamani nani kaifikisha CCM hapo tulipo?
Mambo si shwari, pole CCM yangu.