Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Magufuli: DPP aliichezea kesi ya ''samaki wa Magufuli''

Sasa mbona HAKUMTUMBUA kama Kabwe na yule Mama wa TIC?

FELESHI ALIKUWA MRA RUSHWA NO MOJA.HALAFU WALE WACHINA WALIKUWA WANAVUA KWA BARAKA ZA IKULU.MAGUFURI ALIKUWA ANAPIGANA VITA AMABAYO MKUU WAKE WA KAZI ALIKUA AKIIFADHILI.NDO MAANA KATI YA MAKOSA 19 DPP ALILAZIMISHWA YAPELEKWE AMAKOSA MAWILI ILI SERIKALI ISHINDWE NA MAGUFURI AONEKANE NI MKURUPUKAJI.KUMBUKA KIKWETWE,LOWASA NA MAMEMBE WALIKUWA HAWATAKI UTENDAJI WA MAGUFURI KWANI ALIKUWA ANAWAFUNIKA HIVYO KUANZA KUMHOFIA KATIKA SAFARI YAO YA KISIASA
 
Kumbe hata Rais Magufuli alishailalamikia ofisi ya DPP.

Kumbe tulishindwa kesi kwa sababu ya DDP alitaka serikali ishindwe kesi.

Huyu bwana Mungu amlinde. He is very open, he didn't hit around the bush. Just straight to the target. Hahahahaha
Na hata body language inaonyesha kabisa ana amini kile anachokiongea.
Ofisi ya DPP ni jipu. Pia kuhusu CCP vijana kwenda na vimemo, nadhani hiyo imeishakuwa desturi ya jeshi la polisi. Yaani kama huna God father siyo rahisi kupata nafasi CCP. (Almost 90% ya wanaojiunga CCP wana ma God father)
 
Sasa na yeye analalamika wananchi wafanyeje? hio si kesi ya jinai?irudishwe mahakamani!!!!!
 
Back
Top Bottom