Mindi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2008
- 3,523
- 4,998
Mkuu maada yako ni tata sana! hasa ukidefine neno mamlaka na wajibu wa aliyepewa mamlaka! kama kwajibika kwa magufuli kwa mamlka aliyonayo ni tatizo then we have problem somewhere
Je unaweza kutoa mfano wa asiye na mamlaka na yet ni mpiganaji au mtetezi wa mali ya umma
Pili je ulitaka magufuli afanye nini bungeni ili aonekane kuwa anapigania haki na kufabya unavyotaka wewe?
Baada ya majibu hayo je ili uonekane mpiganaji lazima
1. uandike article sana
2. useme sana bungeni (kama mbunge)
3. Jamii yote ijue wewe ni mpiganaji?
Je wale wasio na nafasi ya kujulikana kwa vigezo utakavyoonyesha wanaweza kuwa wapiganaji?
Je unaweza kutoa mfano mmoja wa waziri mmoja wa sasa na serikali zilizopita ambaye ni mpiganaji from bungeni mpaka serikalini na OUTPUT yake imeonekana?
Magufuli ulivyo-m-rate umetumia standard gani? job descritption yake inasemaje?
cheers
Heshima Mkuu! Mimi nilivyomwelewa MM, ni vigumu sana kujua msimamo wa Magufuli, anasimamia nini hasa katika masuala ya kitaifa. sawa, anaonekana mchapa kazi sana, lakini so far ukipiga picha, anaonekana kufaulu akiwa katika madaraka tu. sasa MM amejenga hoja hapo, na binafsi nimeikubali. conclusion yake pia, kwamba kwa maana hiyo itakuwa ni vigumu sana Magufuli kujiuzulu, kwa sababu hawezi kusimama kama yeye na msimamo wake, aka-flourish. na hoja hii ya MM inakuwa urgent kwa sababu kama asemavyo MM, PM na JK wamemlima jamaa kisawasawa, kiasi kwamba unabaki unashangaa huyu jamaa bado yupo. nadhani kwa mtu mwenye msimamo hasa, alitakiwa ajiuzulu na kama ni mtu mwenye misimamo inayojitokeza kitaifa, bado anaweza kuwa relevant and effective katika kusimamia yale anayoyaamini katika taifa hili. ndivyo anavyofanya Dr. Slaa, kwa mfano. sasa hivi sio mbunge, lakini akisimama mahala akaongea, watu wanamsikiliza na serikali inatetemeka