Mh ulivyojenga hoja yako inatia mshaka sana. Unataka tuamini kuwa Maghufuli ana kinyongo na wakazi kuanzai ubungo hadi kibaha kitu ambacho siwezi kuamini kirahisi angalia kauli hii:[ Na ili kuhakikisha wananchi kati ya Ubungo hadi Kibaha wanakosa haki yao kabisa kwa ubabe wake wa kawaidia aliingia katika ardhi na makazi halalai ya wananchi chini ya sheria zilizotungwa na bunge bila ya kushirikisha ngazi za Mkoa, Wilaya, Manispaa, Tarafa, Kata wala Serikali za Mitaa na mpaka sasa hataki majadiliano ya iana yoyote yanayohusu haki za wananchi hawa. Je huu ndio mfano wa kiongozi bora mnayemtaka? Viongozi kama hawa Mwalimu Nyerere alisema hawafai hata kupewa Ujumbe wa ]
Hivi wakati maghufuli anaagiza kupanda mawe na mabango yanayoonyesha road reserve ni 120m Je hakuna sheria iliyomwongoja na kwamba alikuwa anabuni tu mwenyewe? Je unaujua mpango mzima wa fly overs utakavyokuwa na kuwa MT10 tu zinatosha.
Hata hivyo, siwezi ku argue kwenye sheria kwani zinahitaji utafiti wa kutosha.