Magufuli ataiweza vita dhidi ya Karimjee Jivanjee Family?

"Na kama kweli amedhamiria kula nao sahani moja basi nashauri pia ajiimarishie ulinzi kwani na wao pia watakula naye sahani moja, hawa Karimjee Jivanjee family ni noma, wazungu walivyoondoka ndiyo waliowakabidhi nchi (kiuchumi) wako Afrika Mashariki yote!"
Mwisho Wa kunukuu..


Watanzania tunajiita wasomi lkn baadhi yetu elimu zetu hazitusaidii. Mleta Uzi ameandika maneno hayo hapo juu. Ni ujuha na ujinga ndiyo vinamsumbua au amedhamiria makusudi kumdhalilisha Rais wetu.

Ubavu Wa kusema raia ATAKULA SAHANI MOJA na Muh. Rais Magufuli ameutoa wapi?

Mpumbavu sana wewe. Ili kuweka nidhamu mleta Uzi huu anafaa kufuatiliwa akamatwe na vyombo vya dola ili aeleze vizuri magabachori watakvyo kula sahani moja na rais. Anafaa kuswekwa ndani ili atambue mamlaka ya Rais ni yapi.

Umemdhalilisha Rais wetu

Huyu kijana hana adabu na sidhani kama nj Mtanzania..anatoa kauli za vitisho au ndio yeye mwenyewe karimjee mwenyewe au kuwadi wake? Safi mkuu kwa kumpa za uso. Watz wengine ovyo sana
 
Nilisikiliza Hotuba yake ya kufungua Bunge aisema kwamba pamoja na mambo mengine Serikali yake itaondoa matumizi ya magari ya kifahari maarufu kama, mashangingi", sasa hii ni kwamba ametangaza vita dhidi ya mabepari wakubwa nchi hii na hawa siyo wengine bali ni Karimjee Jivanjee Familiy ambao ndiyo wamiliki wa Toyota Tanzania ambao pia ni wauzaji wa Mashangingi yote serikalini na hawa jamaa wamekuwa na biashara ya uhakika tangu mwaka 1995, sasa Je, Magufuli wetu ataiweza hii familia ya Kipebari?

Na kama kweli amedhamiria kula nao sahani moja basi nashauri pia ajiimarishie ulinzi kwani na wao pia watakula naye sahani moja, hawa Karimjee Jivanjee family ni noma, wazungu walivyoondoka ndiyo waliowakabidhi nchi (kiuchumi) wako Afrika Mashariki yote!
Kwa kukusaidia tuu, last consignment ya magari ya serekali ni mashangingi 300, yamenunuliwa kwa bulk pocurement na GIPSA, na wameyanunua direct from kiwandani!, no middle men, no agent!. Wameyanunua kwa gharama ya half market price, na kumbe ukinunua more than 100 units, unasafirishiwa kwa half price na kushauriwa kufungua after sales service center yako!.

Pasco
 
kuna taratibu za kimanunuzi lazima zifuatwe, haiendi kienyejienyeji hivyo.
 
Hivi kama individual person anaweza kuagiza direct from Japan, why Serikali ipitie kwa wakala?
Hata mimi hua sielewi the logic behid halafu wanakuja kuziunza Serikalini kwa asilimia zaidi 180% na hii ni moja ya scandal za ajabu nchini - TEMESA inaweza kuagiza magari haya kutoka Japan kwa bei nafuu sana ikihambatana na discount, lakini Muhindi huyu kaishikilia Serikali hafurukuti kabisa miaka nenda rudi!!

Nasikia ndio hao hao wanao yafanyia Service - yaani kuna ufujaji mkubwa wa pesa za Serikali katika manunuzi na Service za magari haya ni balaa tupu!
 
"Na kama kweli amedhamiria kula nao sahani moja basi nashauri pia ajiimarishie ulinzi kwani na wao pia watakula naye sahani moja, hawa Karimjee Jivanjee family ni noma, wazungu walivyoondoka ndiyo waliowakabidhi nchi (kiuchumi) wako Afrika Mashariki yote!"
Mwisho Wa kunukuu..


Watanzania tunajiita wasomi lkn baadhi yetu elimu zetu hazitusaidii. Mleta Uzi ameandika maneno hayo hapo juu. Ni ujuha na ujinga ndiyo vinamsumbua au amedhamiria makusudi kumdhalilisha Rais wetu.

Ubavu Wa kusema raia ATAKULA SAHANI MOJA na Muh. Rais Magufuli ameutoa wapi?

Mpumbavu sana wewe. Ili kuweka nidhamu mleta Uzi huu anafaa kufuatiliwa akamatwe na vyombo vya dola ili aeleze vizuri magabachori watakvyo kula sahani moja na rais. Anafaa kuswekwa ndani ili atambue mamlaka ya Rais ni yapi.

Umemdhalilisha Rais wetu


najiuliza hivi kati ya NKURUNZINZA ,JOSEPH KABILA NA UNCLE MAGUFULI nani anarisk sana uwepo wake madarakani???
 
Mmm.Sasa serikali si ilikuwa mteja tu kama mteja mwingine.Kama serikali haitaki kununua si basi,watanunua wengine wanaohitaji.Kwani ni nguvu.Mbona hapo hakuna vita.
Nilisikiliza Hotuba yake ya kufungua Bunge aisema kwamba pamoja na mambo mengine Serikali yake itaondoa matumizi ya magari ya kifahari maarufu kama, mashangingi", sasa hii ni kwamba ametangaza vita dhidi ya mabepari wakubwa nchi hii na hawa siyo wengine bali ni Karimjee Jivanjee Familiy ambao ndiyo wamiliki wa Toyota Tanzania ambao pia ni wauzaji wa Mashangingi yote serikalini na hawa jamaa wamekuwa na biashara ya uhakika tangu mwaka 1995, sasa Je, Magufuli wetu ataiweza hii familia ya Kipebari?

Na kama kweli amedhamiria kula nao sahani moja basi nashauri pia ajiimarishie ulinzi kwani na wao pia watakula naye sahani moja, hawa Karimjee Jivanjee family ni noma, wazungu walivyoondoka ndiyo waliowakabidhi nchi (kiuchumi) wako Afrika Mashariki yote!
 
Nilisikiliza Hotuba yake ya kufungua Bunge aisema kwamba pamoja na mambo mengine Serikali yake itaondoa matumizi ya magari ya kifahari maarufu kama, mashangingi", sasa hii ni kwamba ametangaza vita dhidi ya mabepari wakubwa nchi hii na hawa siyo wengine bali ni Karimjee Jivanjee Familiy ambao ndiyo wamiliki wa Toyota Tanzania ambao pia ni wauzaji wa Mashangingi yote serikalini na hawa jamaa wamekuwa na biashara ya uhakika tangu mwaka 1995, sasa Je, Magufuli wetu ataiweza hii familia ya Kipebari?

Na kama kweli amedhamiria kula nao sahani moja basi nashauri pia ajiimarishie ulinzi kwani na wao pia watakula naye sahani moja, hawa Karimjee Jivanjee family ni noma, wazungu walivyoondoka ndiyo waliowakabidhi nchi (kiuchumi) wako Afrika Mashariki yote!

Umemisikitisha sana kuonyesha kuwa Raisi wa nchi anaweza kutishiwa maisha na wadosi! Eti wameachiwa nchi kiuchumi na wazungu walipoondoka! Sijui hata kwani nimesoma uzi wako
 
Nilisikiliza Hotuba yake ya kufungua Bunge aisema kwamba pamoja na mambo mengine Serikali yake itaondoa matumizi ya magari ya kifahari maarufu kama, mashangingi", sasa hii ni kwamba ametangaza vita dhidi ya mabepari wakubwa nchi hii na hawa siyo wengine bali ni Karimjee Jivanjee Familiy ambao ndiyo wamiliki wa Toyota Tanzania ambao pia ni wauzaji wa Mashangingi yote serikalini na hawa jamaa wamekuwa na biashara ya uhakika tangu mwaka 1995, sasa Je, Magufuli wetu ataiweza hii familia ya Kipebari?

Na kama kweli amedhamiria kula nao sahani moja basi nashauri pia ajiimarishie ulinzi kwani na wao pia watakula naye sahani moja, hawa Karimjee Jivanjee family ni noma, wazungu walivyoondoka ndiyo waliowakabidhi nchi (kiuchumi) wako Afrika Mashariki yote!

Mbona Toyota mwanza inamilikiwa na akina Patel?
 
Magufuli mpaka sasa anatumbua chunusi tu...

Majibu kama hayo uliyotaja hawezi kuyagusa...

Wanaoshuhulikiwa kwa sasa ni watumishi wa Umma tu!!
Hili hao watumishi wa umma wasije kutumiwa kuvuruga ushahidi baadae.
 
Nilisikiliza Hotuba yake ya kufungua Bunge aisema kwamba pamoja na mambo mengine Serikali yake itaondoa matumizi ya magari ya kifahari maarufu kama, mashangingi", sasa hii ni kwamba ametangaza vita dhidi ya mabepari wakubwa nchi hii na hawa siyo wengine bali ni Karimjee Jivanjee Familiy ambao ndiyo wamiliki wa Toyota Tanzania ambao pia ni wauzaji wa Mashangingi yote serikalini na hawa jamaa wamekuwa na biashara ya uhakika tangu mwaka 1995, sasa Je, Magufuli wetu ataiweza hii familia ya Kipebari?

Na kama kweli amedhamiria kula nao sahani moja basi nashauri pia ajiimarishie ulinzi kwani na wao pia watakula naye sahani moja, hawa Karimjee Jivanjee family ni noma, wazungu walivyoondoka ndiyo waliowakabidhi nchi (kiuchumi) wako Afrika Mashariki yote!

Wakifanya lolote dhidi ya Magufuli basi sisi Watanzania pia tutakula nao sahani moja
 
Namdharau sana mtu yeyote yule anaetilia shaka uwezo wa serikali yetu kwa namna yoyote ile!
Kweli? Basi wewe ni kati ya wale walioburuzwa miaka nenda rudi huku wakishangilia na kushabikia tu bila kuuliza swali. Hivi uliposoma primary hukusikia methali iliyosema: "Mbio za sakafuni huishia ukingoni?" Ni nani muasisi wa uwozo wa nchi hii? Kama ni maraisi waliotangulia na familia zao unafikiri ni rahisi Magufuli kuwatumbua majipu kwa wepesi kama unavyofikiri? Majipu haya sii ya juujuu kama unavyodhani. Think twice! Magufuli anaweza kutumbukia kwenye shimo refu na akashindwa kabisa kutoka huko katika mbio hizi unazoshangilia. Fikiri! Uliza! changanua! Angalia kila fact na ujiridhishe kama mtu mzima!
 
"Kama kuna mfanyabiashara yeyote ambaye alichanga hata shilingi mbili anyoshe mkono."
 
Hivi kama individual person anaweza kuagiza direct from Japan, why Serikali ipitie kwa wakala?
Hata mimi sielewi, hawa madalali Wa kazi gani? Magari mapya yanauzwa na Toyota Japan, hawa madalali Wa jivanjaa karimnjaa family Wa nini?
 
Huwezi kuangiza moja kwa moja brand new vehicles from Toyota Japan ni lazima upitie kwa wakala kwenye nchi yako. Toyota Japan hawawezi kushindana na mawakala wao wenyewe. Kwahiyo serikali kununua magari yake kupitia kwa wakala ni sahihi kabisa.

Hii ni taarifa tu

mim mbna nimeagiza mwenyewe?kwan kuagiza gar ni kushindana na wakala?
 
"Na kama kweli amedhamiria kula nao sahani moja basi nashauri pia ajiimarishie ulinzi kwani na wao pia watakula naye sahani moja, hawa Karimjee Jivanjee family ni noma, wazungu walivyoondoka ndiyo waliowakabidhi nchi (kiuchumi) wako Afrika Mashariki yote!"
Mwisho Wa kunukuu..


Watanzania tunajiita wasomi lkn baadhi yetu elimu zetu hazitusaidii. Mleta Uzi ameandika maneno hayo hapo juu. Ni ujuha na ujinga ndiyo vinamsumbua au amedhamiria makusudi kumdhalilisha Rais wetu.

Ubavu Wa kusema raia ATAKULA SAHANI MOJA na Muh. Rais Magufuli ameutoa wapi?

Mpumbavu sana wewe. Ili kuweka nidhamu mleta Uzi huu anafaa kufuatiliwa akamatwe na vyombo vya dola ili aeleze vizuri magabachori watakvyo kula sahani moja na rais. Anafaa kuswekwa ndani ili atambue mamlaka ya Rais ni yapi.

Umemdhalilisha Rais wetu
Kwani hawa Karimjee Jivanjee ina bifu binafsi nao? Tuache hizo chuki zisizi na msingi jamani. Tujenge nchi tulipe kodi. Jiulize we umelipa kodi mara ya mwisho ilikuwa mwaka gani?
 
Kweli? Basi wewe ni kati ya wale walioburuzwa miaka nenda rudi huku wakishangilia na kushabikia tu bila kuuliza swali. Hivi uliposoma primary hukusikia methali iliyosema: "Mbio za sakafuni huishia ukingoni?" Ni nani muasisi wa uwozo wa nchi hii? Kama ni maraisi waliotangulia na familia zao unafikiri ni rahisi Magufuli kuwatumbua majipu kwa wepesi kama unavyofikiri? Majipu haya sii ya juujuu kama unavyodhani. Think twice! Magufuli anaweza kutumbukia kwenye shimo refu na akashindwa kabisa kutoka huko katika mbio hizi unazoshangilia. Fikiri! Uliza! changanua! Angalia kila fact na ujiridhishe kama mtu mzima!

Msije mkasema Rais ni dikteta tu. . . . .. .Maana huo mzani mnaojaribu kumpimia uzito akiamua kuukalia kikweli hautohimili
 
Back
Top Bottom