mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,495
- 107,376
EAGLE AT WORK !Kwa hiyo HILI NI TISHIO KWA RAIS WA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA !!????
Chunga kauli zako bwana mdogo. Uliza wenzako wameishia wapi na upuuzi Kama huu.
Mkuu Mng'ato, nimeisoma ripoti ya CAG na kikweli nimeshituka, nimesikitika na kuhuzunika sana jinsi tunavyopigwa.Bila shaka report ya CAG umeiona ilichokisema kuhusiana na hao GPSA na uagizaji wa magari ya Toyota.
Naona kweli wameyaleta kwa half price kama ulivyosema mkuu,hahah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh! Unakera wapi au kwa sababu karnda direct kwenye point?Mkuu Barbarosa, hata kama una hoja, uandishi wako unakera sana. Jirekebishe
Mkuu Mng'ato, nimeisoma ripoti ya CAG na kikweli nimeshituka, nimesikitika na kuhuzunika sana jinsi tunavyopigwa.
Niliongea na CEO wa GIPSA, tena sio mazungumzo tuu makavu bali nilimrekodi na kumtengenezea kipindi, alisema wanaagiza direct kutoka kiwandani kama wafanyavyo UNDP, ule ulikuwa uongo!. Nikiipandisha ile clip humu na kuoanisha na taarifa ya CAG, huyu bosi kuanzia kesho hana kazi!.
P.
Jamaa wanaendelea tuu kupiga, na hiyo video clip anayosema sasa wanaagiza directly from Japan, na kunitajia figures tulizo okoa, sasa ni fursa, yaani ni deal!.Daah mkuu thnxs sama kwa reply,maana nilikua nataka ku-confirm kama jamaa bado wanaendelea kutupiga kama kawaida huku tukiambiwa upigaji umepungua sana.
Thnxs sana mkuu wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukristo =upigaji/wizi???????....Mkuu Mng'ato, nimeisoma ripoti ya CAG na kikweli nimeshituka, nimesikitika na kuhuzunika sana jinsi tunavyopigwa.
Niliongea na CEO mwenyewe wa GIPSA, tena sio mazungumzo makavu tuu bali nilimrekodi na kumtengenezea kipindi, alisema Sasa wanaagiza magari direct kutoka kiwandani kama wafanyavyo UNDP, hadi akanitajia figures za pesa walizo okoa, kumbe ule ulikuwa uongo tuu, yaani anapiga kamba, kuwadanganya Watanzania, huku chini chini wanapiga cha juu.
Nikiamua kuipandisha ile clip humu na kuoanisha na taarifa ya CAG, huyu bosi kuanzia kesho atakuwa hana kazi!, bahati yake mimi Mkristu.
P.
@Pascal Mayalla umeamua kufuga jizi?Mkuu Mng'ato, nimeisoma ripoti ya CAG na kikweli nimeshituka, nimesikitika na kuhuzunika sana jinsi tunavyopigwa.
Niliongea na CEO mwenyewe wa GIPSA, tena sio mazungumzo makavu tuu bali nilimrekodi na kumtengenezea kipindi, alisema Sasa wanaagiza magari direct kutoka kiwandani kama wafanyavyo UNDP, hadi akanitajia figures za pesa walizo okoa, kumbe ule ulikuwa uongo tuu, yaani anapiga kamba, kuwadanganya Watanzania, huku chini chini wanapiga cha juu.
Nikiamua kuipandisha ile clip humu na kuoanisha na taarifa ya CAG, huyu bosi kuanzia kesho atakuwa hana kazi!, bahati yake mimi Mkristu.
P.
Jamaa wanaendelea tuu kupiga, na hiyo video clip anayosema sasa wanaagiza directly from Japan, na kunitajia figures tulizo okoa, sasa ni fursa, yaani ni deal!.
P.
Kwanza nikupongeze kwa kufanya investigative journalism, hapa hofu inayonijia ni pengine labda tokea alipoanza kuagiza direct from Japan bado mkaguzi hajapita.Mkuu Mng'ato, nimeisoma ripoti ya CAG na kikweli nimeshituka, nimesikitika na kuhuzunika sana jinsi tunavyopigwa.
Niliongea na CEO mwenyewe wa GIPSA, tena sio mazungumzo makavu tuu bali nilimrekodi na kumtengenezea kipindi, alisema Sasa wanaagiza magari direct kutoka kiwandani kama wafanyavyo UNDP, hadi akanitajia figures za pesa walizo okoa, kumbe ule ulikuwa uongo tuu, yaani anapiga kamba, kuwadanganya Watanzania, huku chini chini wanapiga cha juu.
Nikiamua kuipandisha ile clip humu na kuoanisha na taarifa ya CAG, huyu bosi kuanzia kesho atakuwa hana kazi!, bahati yake mimi Mkristu.
P.
Sidhani kaka. Nenda pugu road Toyota pale. Yanayotoka pale mengi ni SU STK STJ nk.why buy direct wakati Kuna dealer anayetoa after sale service and parts?Mkuu Mng'ato, nimeisoma ripoti ya CAG na kikweli nimeshituka, nimesikitika na kuhuzunika sana jinsi tunavyopigwa.
Niliongea na CEO mwenyewe wa GIPSA, tena sio mazungumzo makavu tuu bali nilimrekodi na kumtengenezea kipindi, alisema Sasa wanaagiza magari direct kutoka kiwandani kama wafanyavyo UNDP, hadi akanitajia figures za pesa walizo okoa, kumbe ule ulikuwa uongo tuu, yaani anapiga kamba, kuwadanganya Watanzania, huku chini chini wanapiga cha juu.
Nikiamua kuipandisha ile clip humu na kuoanisha na taarifa ya CAG, huyu bosi kuanzia kesho atakuwa hana kazi!, bahati yake mimi Mkristu.
P.
No, sio Ukristo na upigaji bali Ukristo na huruma kutowaadhibu wapigaji.Ukristo =upigaji/wizi???????....
Mkuu Kisepi, hii ni ngoma ya 2015 na ilianzia hapaSidhani kaka. Nenda pugu road Toyota pale. Yanayotoka pale mengi ni SU STK STJ nk.why buy direct wakati Kuna dealer anayetoa after sale service and parts?
Akina rostam , karimjee, manji etc Ni wakristu?No, sio Ukristo na upigaji bali Ukristo na huruma kutowaadhibu wapigaji.
Lakini kwa vile wasomi wengi ni Wakristo kuliko Waislamu, then automatically, wapigaji wengi wa mapigo ya kisomi, watakuwa hao hao.
P
Mkuu Coscated, hakuna IJ yoyote niliyofanya, bali nilifanya ordinary interview na CEO wa GPSA ndio akaniambia wanaagiza direct na kunipa figures kiasi gani wana save, kumbe zilikuwa ni kamba!.Kwanza nikupongeze kwa kufanya investigative journalism, hapa hofu inayonijia ni pengine labda tokea alipoanza kuagiza direct from Japan bado mkaguzi hajapita.
Kikubwa tujue ni lini wameanza kuagiza moja kwa moja.
Hit direct to the Ntonku
Usifanye cherry picking, tunazungumzia general, wizi wa kalamu unafanywa na watu waliokwenda shule. Wengi waliokwenda shule ni wepi?.Akina rostam , karimjee, manji etc Ni wakristu?
Umeona ripot ya CAG bado jamaa wanapiga"Na kama kweli amedhamiria kula nao sahani moja basi nashauri pia ajiimarishie ulinzi kwani na wao pia watakula naye sahani moja, hawa Karimjee Jivanjee family ni noma, wazungu walivyoondoka ndiyo waliowakabidhi nchi (kiuchumi) wako Afrika Mashariki yote!"
Mwisho Wa kunukuu..
Watanzania tunajiita wasomi lkn baadhi yetu elimu zetu hazitusaidii. Mleta Uzi ameandika maneno hayo hapo juu. Ni ujuha na ujinga ndiyo vinamsumbua au amedhamiria makusudi kumdhalilisha Rais wetu.
Ubavu Wa kusema raia ATAKULA SAHANI MOJA na Muh. Rais Magufuli ameutoa wapi?
Mpumbavu sana wewe. Ili kuweka nidhamu mleta Uzi huu anafaa kufuatiliwa akamatwe na vyombo vya dola ili aeleze vizuri magabachori watakvyo kula sahani moja na rais. Anafaa kuswekwa ndani ili atambue mamlaka ya Rais ni yapi.
Umemdhalilisha Rais wetu
No sio kufuga jizi bali ukijua kuwa ukifanya hiki, kitakachomkuta ni kibaya, then unaamua kuacha,@Pascal Mayalla umeamua kufuga jizi?
Ukristo wako unakuruhusu kufanya jambo hili kivipi?
ipambanishe..ukristo ni kusema ukweliMkuu Mng'ato, nimeisoma ripoti ya CAG na kikweli nimeshituka, nimesikitika na kuhuzunika sana jinsi tunavyopigwa.
Niliongea na CEO mwenyewe wa GIPSA, tena sio mazungumzo makavu tuu bali nilimrekodi na kumtengenezea kipindi, alisema Sasa wanaagiza magari direct kutoka kiwandani kama wafanyavyo UNDP, hadi akanitajia figures za pesa walizo okoa, kumbe ule ulikuwa uongo tuu, yaani anapiga kamba, kuwadanganya Watanzania, huku chini chini wanapiga cha juu.
Nikiamua kuipandisha ile clip humu na kuoanisha na taarifa ya CAG, huyu bosi kuanzia kesho atakuwa hana kazi!, bahati yake mimi Mkristu.
P.