Josorobert
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 629
- 215
Mafisadi wote wafungwe
Yupo tayari kumuwajibisha RIDHIWANI?CHENGE? TIBAIJUKA? NGEREJA? MAOFISA WA IKULU WALIOCHUKUA FEDHA KUPITIA STANBIC BANK? Bila kusahau na yeye mwenyewe anayetumia fedha za ESCROW Billion 25 walizopewa kwenye hizo kampeni zake.
mbona anaongozana nao kwenye kampeni halafu ndo anasema atawakamata inamaana siye watanzania anatufanya watoto wadogo
Mgombea wa urais CCM DR MAGUFULI,ametangaza hali ya hatari kwa wale wote wanaohusika na wizi wa mali ya umma kuanzia wadogo hadi wakubwa.
Aidha wapo pia walioficha fedha hizo nje ya nchi,amewapa muda wa kuzirudisha kabla ya yeye kula kiapo,na amesisitiza kuwachukulia hatua stahiki watakaoshindwa kufanya hivo.
Amesema raslmali za nchi zinapaswa kitumika vizuri ili kila mwanainchi aweze kufaidi na sio watu wachache.
HIzo raslimali ni pamoja na vnyumba za serikali ambazo alishiriki kuzigawa. Tunataka zirudi, bila kujali kama zimebomolewa au la. Viwanja ni mali ya serikali.
Hatutaki usanii wake!
Acha kuita wanasayansi wasanii
Wakati wengine wameusomea huo usanii kwa miaka mitatu
Mgombea wa urais CCM DR MAGUFULI, ametangaza hali ya hatari kwa wale wote wanaohusika na wizi wa mali ya umma kuanzia wadogo hadi wakubwa.
Aidha wapo pia walioficha fedha hizo nje ya nchi,amewapa muda wa kuzirudisha kabla ya yeye kula kiapo,na amesisitiza kuwachukulia hatua stahiki watakaoshindwa kufanya hivyo.
Amesema rasilimali za nchi zinapaswa kitumika vizuri ili kila mwanainchi aweze kufaidi na sio watu wachache.
Mgombea wa urais CCM DR MAGUFULI, ametangaza hali ya hatari kwa wale wote wanaohusika na wizi wa mali ya umma kuanzia wadogo hadi wakubwa.
Aidha wapo pia walioficha fedha hizo nje ya nchi,amewapa muda wa kuzirudisha kabla ya yeye kula kiapo,na amesisitiza kuwachukulia hatua stahiki watakaoshindwa kufanya hivyo.
Amesema rasilimali za nchi zinapaswa kitumika vizuri ili kila mwanainchi aweze kufaidi na sio watu wachache.