kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 324
Safii sana mzee anza na Lowassa na genge lake
Genge lake yumo JK, Tibaijuka,Chenge, Kinana, Magufuli, Likuvi......
Safii sana mzee anza na Lowassa na genge lake
Au unasemea yule jangili aitwaye sumaye aliekamatwa na meno ya tembo huko ulanga akiwa ameyatia kwenye gari la serikali?
Mfano ameongozana na nan na kaiba nn
Kikwete na Mkapa Fisadi number moja na tatu kulingana na Taarifa ya List of shame ya Mwembeyanga, yeye mwenyewe kama fisadi wa kuuza nyumba za serikali, kuiba Billion 262 kwenye wizara ya ujenzi pamoja na kulitia hasara Taifa kwa kukamata meri ya samaki bila kutafakari.
Blah blah blah
Vipi kuhusu MAJANGILI mbona yuko kimya au kwa vile kwa sasa msomali ni mwenyekiti wa kampeni zake.
Hiyo ya Majangili sijamsikia kabisa Lowassa anaitaja. Sijui anaigopa?
Na ufisadi sijasikia kabisa.
Keshabip rushwa kwa sekunde kadhaa.
Akasepa
Hapana namzungumzia JANGILI MKUU ambaye ni msomali anayeishi nchini kinyume cha sheria.
Nani?? Magufuli ni mwanasayansi? NO! Au alisoma sayansi?
Kusoma sayansi si kuwa mwanasayansi, kusoma sheria si kuwa mwanasheria na si kila aliyesomea udaktari ni daktari. wengine wanafanya biashara tu na tunawatambua kuwa ni wafanya biashara!
Magufuli hana utani na kazi
Kikwete na Mkapa Fisadi number moja na tatu kulingana na Taarifa ya List of shame ya Mwembeyanga, yeye mwenyewe kama fisadi wa kuuza nyumba za serikali, kuiba Billion 262 kwenye wizara ya ujenzi pamoja na kulitia hasara Taifa kwa kukamata meri ya samaki bila kutafakari.