Yupo tayari kumuwajibisha RIDHIWANI?CHENGE? TIBAIJUKA? NGEREJA? MAOFISA WA IKULU WALIOCHUKUA FEDHA KUPITIA STANBIC BANK? Bila kusahau na yeye mwenyewe anayetumia fedha za ESCROW Billion 25 walizopewa kwenye hizo kampeni zake.tunaamini sana katika utendaji wako Magufuli hivyo kura atapata tausaidie katika hili
Yupo tayari kumuwajibisha RIDHIWANI?CHENGE? TIBAIJUKA? NGEREJA? MAOFISA WA IKULU WALIOCHUKUA FEDHA KUPITIA STANBIC BANK? Bila kusahau na yeye mwenyewe anayetumia fedha za ESCROW Billion 25 walizopewa kwenye hizo kampeni zake.
Anaanza na papa, mzee lowasa na wenzake.
Mgombea wa urais CCM DR MAGUFULI,ametangaza hali ya hatari kwa wale wote wanaohusika na wizi wa mali ya umma kuanzia wadogo hadi wakubwa.
Aidha wapo pia walioficha fedha hizo nje ya nchi,amewapa muda wa kuzirudisha kabla ya yeye kula kiapo,na amesisitiza kuwachukulia hatua stahiki watakaoshindwa kufanya hivo.
Amesema raslmali za nchi zinapaswa kitumika vizuri ili kila mwanainchi aweze kufaidi na sio watu wachache.
Magufuli hana utani na kazi
Vipi kuhusu MAJANGILI mbona yuko kimya au kwa vile kwa sasa msomali ni mwenyekiti wa kampeni zake.
Bado mnaishi kwa mazoea, wakati wa Magufuli mtajuta
Mgombea wa urais CCM DR MAGUFULI,ametangaza hali ya hatari kwa wale wote wanaohusika na wizi wa mali ya umma kuanzia wadogo hadi wakubwa.
Aidha wapo pia walioficha fedha hizo nje ya nchi,amewapa muda wa kuzirudisha kabla ya yeye kula kiapo,na amesisitiza kuwachukulia hatua stahiki watakaoshindwa kufanya hivo.
Amesema raslmali za nchi zinapaswa kitumika vizuri ili kila mwanainchi aweze kufaidi na sio watu wachache.
Ukiondoka ccm ndipo unakuwa fisadi lakini ukibaki ndani ya ccm hatutakwita fisadi na hata kama hukuwahi kuiba wewe ni fisadi kwanini unatukimbia kwenye chama
Usipende kuishi kwa mazoea.
na ndo maana tunaikataa sisiem kutuzoesha umaskini wakati sisi ni matajiri