Magufuli apigilia msumari kwa mafisadi

Mgombea wa urais kupitia CCM, Dr Magufuli amezidi kupigilia msumali kwa mafisadi wote akisema ni lazima wachukuliwe hatua za kisheria.Hali hiyo imekuja mara baada ya tetesi kuwa fisadi waliokimbia CCM wako mbioni kurudi,hivo Magufuli kasema chama chake hakitakuwa tayari kupokea mafisadi bali kitawashughulikia vikali.

Raid wangu Magufuri usisahau na walanguzi wa Mali za umma.
 
Mgombea wa urais kupitia CCM, Dr Magufuli amezidi kupigilia msumali kwa mafisadi wote akisema ni lazima wachukuliwe hatua za kisheria.Hali hiyo imekuja mara baada ya tetesi kuwa fisadi waliokimbia CCM wako mbioni kurudi,hivo Magufuli kasema chama chake hakitakuwa tayari kupokea mafisadi bali kitawashughulikia vikali.

Magufuri ndo kura yangu mimi na yangu ya watu kumi na mbili
 
Mgombea wa urais kupitia CCM, Dr Magufuli amezidi kupigilia msumali kwa mafisadi wote akisema ni lazima wachukuliwe hatua za kisheria.Hali hiyo imekuja mara baada ya tetesi kuwa fisadi waliokimbia CCM wako mbioni kurudi,hivo Magufuli kasema chama chake hakitakuwa tayari kupokea mafisadi bali kitawashughulikia vikali.

Hataweza Kupambana na Ufisadi katika katiba ya Zamani pia amezungukwa na mafisadi wengi mno akiwa CCM hajawahi kukemea bora hata James Lembel kuliko Magufuli.
 
Hakika huyu bwana anakuja kuifufua CCM
Kwa kuwanadi kwa nguvu zake zote na mihemko wana wa ESKROW hususan Bw Chenge na Bi Tibaijuka! Jameni kumbukeni ya kwamba hata kama watanganyika wamenyimwa elimu bora na mfumo huu wa kifisadi bado wanazo akili za kutofautisha usanii wa kisiasa na usanii wa bongo movie.
 
Akiwa waziri magufuli alihonga nyumba za serikali. Sasa akiwa rais atahonga nn?
Kumbuka rais wa awamu ya tatu alihonga wizara ya fedha kwa ajili ya dili la mwanamke.
Rais wa awamu ya nne alikuwa anahonga wilaya na mikoa.
Ccm inanuka uchafu haisafishiki. Magufuli ni dodoki chafu
 
Mimi mwenyewe nitampongeza iwapo ataanzia ndani ya chama bila kujali alikuwa nani maana kuna mengi yanasemwa juu ya viongozi wetu wastaafu
 
Mgombea wa urais kupitia CCM, Dr Magufuli amezidi kupigilia msumali kwa mafisadi wote akisema ni lazima wachukuliwe hatua za kisheria.Hali hiyo imekuja mara baada ya tetesi kuwa fisadi waliokimbia CCM wako mbioni kurudi,hivo Magufuli kasema chama chake hakitakuwa tayari kupokea mafisadi bali kitawashughulikia vikali.

Ajianzie Yeye mwenyewe kwanza.
 
Mgombea wa urais CCM DR MAGUFULI, ametangaza hali ya hatari kwa wale wote wanaohusika na wizi wa mali ya umma kuanzia wadogo hadi wakubwa.

Aidha wapo pia walioficha fedha hizo nje ya nchi,amewapa muda wa kuzirudisha kabla ya yeye kula kiapo,na amesisitiza kuwachukulia hatua stahiki watakaoshindwa kufanya hivyo.

Amesema rasilimali za nchi zinapaswa kitumika vizuri ili kila mwanainchi aweze kufaidi na sio watu wachache.
 
Mgombea wa urais CCM DR MAGUFULI,ametangaza hali ya hatari kwa wale wote wanaohusika na wizi wa mali ya umma kuanzia wadogo hadi wakubwa.

Aidha wapo pia walioficha fedha hizo nje ya nchi,amewapa muda wa kuzirudisha kabla ya yeye kula kiapo,na amesisitiza kuwachukulia hatua stahiki watakaoshindwa kufanya hivo.

Amesema raslmali za nchi zinapaswa kitumika vizuri ili kila mwanainchi aweze kufaidi na sio watu wachache.

Mbona hii hadithi kila siku inaletwa hapa?
 
Mgombea wa urais CCM DR MAGUFULI,ametangaza hali ya hatari kwa wale wote wanaohusika na wizi wa mali ya umma kuanzia wadogo hadi wakubwa.

Aidha wapo pia walioficha fedha hizo nje ya nchi,amewapa muda wa kuzirudisha kabla ya yeye kula kiapo,na amesisitiza kuwachukulia hatua stahiki watakaoshindwa kufanya hivo.

Amesema raslmali za nchi zinapaswa kitumika vizuri ili kila mwanainchi aweze kufaidi na sio watu wachache.
magufuli nini bwana Mwinyi alikuja nafagio lachuma likaishia kuto ruksa tu.
 
Vipi kuhusu MAJANGILI mbona yuko kimya au kwa vile kwa sasa msomali ni mwenyekiti wa kampeni zake.
 
Mgombea wa urais CCM DR MAGUFULI,ametangaza hali ya hatari kwa wale wote wanaohusika na wizi wa mali ya umma kuanzia wadogo hadi wakubwa.

Aidha wapo pia walioficha fedha hizo nje ya nchi,amewapa muda wa kuzirudisha kabla ya yeye kula kiapo,na amesisitiza kuwachukulia hatua stahiki watakaoshindwa kufanya hivo.

Amesema raslmali za nchi zinapaswa kitumika vizuri ili kila mwanainchi aweze kufaidi na sio watu wachache.

Yupo sawa
 
Back
Top Bottom