Magufuli apigilia msumari kwa mafisadi

Magufuli apigilia msumari kwa mafisadi

Watu wa ccm wanamjua mwizi ndio maana alivo toka wamekua sio waogaaa
 
Hiyo ndio sababu yangu ya Msingi. Na naamini anaweza kufanya anachoiwazia nchi hii kupitia ahadi hiyo.

Naamini akifanikiwa hilo, Tanzania itakua sehemu salama ya kuishi binadamu.

Huwezi kuchoshwa na umaskini kama huna mikakati ya kupambana na ufisadi.... Tusidanganyane.. Tanzania inamwitaji Magufuli kuliko Magufuli anavyooiitaji Tanzania.!
 
Umekuwa mzalendo kwa vitendo mkuu, ubarikiwe sana
 
Maguli nayeye pia fisadi nyangumi. Ref report ya GAG

Pia Ikulu siyo mirembe kumpeleka mtambo

eti rais wa libya Sadam,

eti Sadam alikuwa rais wa Kuweit,

eti jakaya kikwete alazwe mahali pema peponi,

Magufi kweli mtambo, tena wa gongo
 
ajifunge kwanza yeye mwenyewe kwa ufisadi wake wa kugawa nyumba za serikali kwa vimada na ndugu zake
 
Umekuwa mzalendo kwa vitendo mkuu, ubarikiwe sana

Mkuu tatizo kubwa la nchi hii ni ufisadi tu.. Kama ni mipango tunayo mazuri sana ila haitekelezeki chanzo ufisadi.
 
Hiyo ndio sababu yangu ya Msingi. Na naamini anaweza kufanya anachoiwazia nchi hii kupitia ahadi hiyo.

Naamini akifanikiwa hilo, Tanzania itakua sehemu salama ya kuishi binadamu.

Huwezi kuchoshwa na umaskini kama huna mikakati ya kupambana na ufisadi.... Tusidanganyane.. Tanzania inamwitaji Magufuli kuliko Magufuli anavyooiitaji Tanzania.!


Mimi nitampa Magufuli kura yangu kwasababu atajenga VIWANDA nchi nzima na kuifanya Tanzania kuwa industrialized country like USA, Japan, Germany etc

Wajinga ni MTAJI wa CCM!
 
1. Je mahakama zilizopo sasa haziwezi kushughulikia kesi za ufisadi?

Hiyo ndio sababu yangu ya Msingi. Na naamini anaweza kufanya anachoiwazia nchi hii kupitia ahadi hiyo.

Naamini akifanikiwa hilo, Tanzania itakua sehemu salama ya kuishi binadamu.


Andika hivi, huwezi kuchoshwa na umaskini kama hauna mpango wa kurekebisha hii katiba isiyo na meno tuliyonayo sasa...

Huwezi kuchoshwa na umaskini kama huna mikakati ya kupambana na ufisadi.... Tusidanganyane.. Tanzania inamwitaji Magufuli kuliko Magufuli anavyooiitaji Tanzania.!
 
Maguli nayeye pia fisadi nyangumi. Ref report ya GAG

Pia Ikulu siyo mirembe kumpeleka mtambo

eti rais wa libya Sadam,

eti Sadam alikuwa rais wa Kuweit,

eti jakaya kikwete alazwe mahali pema peponi,

Magufi kweli mtambo, tena wa gongo
Wenye upeo huangalia hoja ila vilaza kama wewe huzingatia viroja.!
 
Mimi nitampa Magufuli kura yangu kwasababu atajenga VIWANDA nchi nzima na kuifanya Tanzania kuwa industrialized country like USA, Japan, Germany etc

Wajinga ni MTAJI wa CCM!

Wasio wajinga mko huru kwenda kokote ...ni siasa huru.
 
ajifunge kwanza yeye mwenyewe kwa ufisadi wake wa kugawa nyumba za serikali kwa vimada na ndugu zake
Kama unaipenda Tanzania kwa faida ya vizazi vijavyo chagua Magufuli.
 
Hiyo ndio sababu yangu ya Msingi. Na naamini anaweza kufanya anachoiwazia nchi hii kupitia ahadi hiyo.

Naamini akifanikiwa hilo, Tanzania itakua sehemu salama ya kuishi binadamu.

Huwezi kuchoshwa na umaskini kama huna mikakati ya kupambana na ufisadi.... Tusidanganyane.. Tanzania inamwitaji Magufuli kuliko Magufuli anavyooiitaji Tanzania.!

Yaani si swala wala jambo la kushangaa. Ccm lazima mtachagua mgombea wa ccm ila kumbuka kura hupigi pekee yako!q
 
Naichukia CCM lakini sina mbadala makini ....bora nusu shari kuliko shari kamili ...nitamchagua Magufuli ili nchi isiangukie mikononi mwa wanamtandao .....bila kusahau kura kwa wabunge wa upinzani ...tupambane kuhakikisha wabunge wa upinzani wanakuwa wengi zaidi ....Urais tushaingia chaka ...
 
Sahau hicho kitu! wanao mweka pale ni hao hao mafisadi
 
Mleta mada huna akili sawa sawa, kwa sababu.
1/Mahakama za kupambana na Ufisadi zilianzishwa toka mwaka 1984, kipindi cha Sokoine. Hazifanyi kazi kwa sababu CCM haizitaki.

2/Magufuli yeye mwenyewe ni mtuhumiwa mkubwa sana wa Ufisadi. Atapambana vipi na ufisadi wakati yeye ni Fisadi, na anaongoza mfumo wa kulinda ufisadi unaoitwa CCM?
 
Mkuu idawa, nashukuru japo wewe ni CHADEMA damu tokea miaka ile ila umetambua kuwa hawa CHADEMA ni walaghai.

Chagua CCM. Chagua Magufuli.
 
Last edited by a moderator:
Maguli nayeye pia fisadi nyangumi. Ref report ya GAG

Pia Ikulu siyo mirembe kumpeleka mtambo

eti rais wa libya Sadam,

eti Sadam alikuwa rais wa Kuweit,

eti jakaya kikwete alazwe mahali pema peponi,

Magufi kweli mtambo, tena wa gongo


Rais magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom