Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Hii empty set ilioandika huu uzi imejidhalilisha kweli, marehemu yuko kabulini anasalitiwaje? Haki walionyanyaswa na Sabaya zisipatikane ? Walionyanyaswa hawana haki Sabaya ndio ana haki ? Yaliyokuwa yananufaika na ujambazi wa Sabaya utaziona tu nyuzi zao .