Magufuli alikuwa na baadhi ya mapungufu kama binadamu wengine. Kwa muono wangu, huyu alipaswa kurekebisha mapungufu ya Magufuli na kuendeleza mengine yote kwani anasimamia ilani ileile.Tofauti na hao marais wengine mama samia kaingia kwa kura za magufuli. Watu walimpigia magufuli kura kwa asilimia 84.6. Hii ni awamu ya magufuli sema mungu kampenda. Huyu mama kutuletea mambo za fikra zao za laisez faire upwani za kipigaji hakika tunaumia sana roho.
Juzijuzi hapa kuna kauli ya kutisha imetolewa kuwa ikibidi sheria zipindishwe ili kuwavuta waporaji wanaoitwa wawekezaji.
Where this nation is headed to, only God knows. Nchi inapoteza dira ndani ya muda mfupi sana.